Dodo86
Senior Member
- Oct 23, 2018
- 112
- 92
Habari wana JF. niende straight kwenye mada. Nina kiwanja kina ukubwa wa sqmtr 405 maeneo ya mbezi beach goig upande wa juu. Ndani ya kiwanja kuna nyumba la zamani au niseme ni gofu sasa nilikua nataka kupaendeleza na pesa hiyo sina nafikiria niingie bank sababu ni sehemu ukipafanyia planning nzuri panalipa sana kwanza ni karibu na barabara ya bagamoyo ukijnenga vyumba hivi vya kisasa panalipa sana ila pia naweza nikakodisha kama shule au hata hospital mtu atapiga sana hela. Swali je nitafute mtu tuingie mkataba au niingie nichukue mkopo bank nipaendeleze na kuna risk zake zikoje? Hati ninayo.