Ushauri na msaada jamani

senzoside

Senior Member
Mar 13, 2012
183
31
Habari za muda huu wandugu
Mm ni kijana mwnaume nina umri wa miaka 25 nafanya kazi kwenye shirika fulani la kitalii hapa mjini Moshi Kilimanjaro kazi yangu namshukuru Mungu inanilipa kwasasa nina hela taslimu shilingi milioni 20 kama mtaji niifanyie biashara gani itakayoweza kunilipa vizuri ambayo naweza kuifanya huku nikiwa naendelea na kazi yangu kazini kwenyewe ni kuanzia saa 2 asubuhi mpaka sasa 10 jioni.
Asanteni karibuni kwa michango yenu
 
Back
Top Bottom