Ushauri: Mwanamke wa nje ananichanganya

Ushauri: Mwanamke wa nje ananichanganya

Hivi kina dada wenzangu? Mtu ana mke wake na mtoto, unatoka wapi kumwambia unampenda? Unataka nini kama sio laana kwa Mungu? Angekuwa mumeo ungekubali kufanyiwa hivyo? Hivi huwa mnajaribu kuvaa uhalisia wa mwanamke mwenzenu kabla ya kuchepuka na waume zao? Kina dada mbona hivyo?
Na wewe mkaka unaomba ushauri gani huo? Mpaka unamuoa mkeo na kupata mtoto si ulimpenda mkeo, huyo wa nje hana mapenzi kuna kitu ameona kwako ndo anachokitaka na sio upendo bali kuchunwa! Pole sana Mti wa Chuma
Hii tabia ya kufanya juu chini kua na waume za watu imekua kama fashion sikuhizi.

Waume za watu nao kwa kujilegeza wanakubali kuingia kingi.
 
Haya ni madhara ya kuwahi kuoa. Ungekula ujana kwanza asee
 
sifa mojawapo ya mwanaume ni kufanya maamuzi naona wewe umekosa hiyo sifa kitu kidogo namna hiyo unaomba ushauri jaribu kukua
 
hebu nenda kamwulize mkeo hlo swali harafu uje utuambie atakujbu nn
 
Mwambie hivi, shetani anatabia ya kukuchochea kufanya uovu. Ukishafanya uovu anaanza kukuzomea. Huo wakati wa kuzomewa na shetani ndio atajuta kumfahamu huyo dada
 
Watu wengine bana si ambato tu? Kwan kuna shida gani?
 
Kwahiyo anahitaji ashauriwe kuhusu nini haswa?
Aujamuelewa Tuu?? Anataka Umshaul Aende Wapi?? Kwa Wa "Nje" Au Mkewe!!! Shetani Keel Amelaaniwa!!! Ndoa Haziishi Majanga.
 
Aujamuelewa Tuu?? Anataka Umshaul Aende Wapi?? Kwa Wa "Nje" Au Mkewe!!! Shetani Keel Amelaaniwa!!! Ndoa Haziishi Majanga.


Anatuenjoy tu... kashakula mzigo huko
 
Watu wana mengi; umeoa mke, bado unajiwekea mazingira ya kutaka kuvunja kiapo cha ndoa kisa kuna dada amekwambia anakupenda?!
 
Wengi wameuliza kwamba huyu ndugu anataka ushauri gani? kumwacha mkewe kwa ajili ya huyu mdada au?
Ni kwamba ndugu huyu anaomba ushauri aoe huyu mdada au amwache vipi.
Japo kwenye maelezo yake inavyoonekana yupo radhi kufanya kila mipango mwoe huyu mdada. Kwa hiyo tusimponde kuwa anaomba ushauri gani. Hii hali inaweza kumtokea kila mmoja wetu.
 
yaani wewe akuchanganye tu hakuna namna tena yaani kitendo cha yeye kuja ofisini kukuambia nakupenda tayari umeshachanganyikiwa,bila kuwa na msimamo watakuchanganya wangapi kwahiyo kila mwanamke akikuambia anakupenda we ndo basi,wanaume hatuko hivyo kuwa na msimamo baki na familia acha undezi we jamaa.
 
Back
Top Bottom