Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,233
hahahahahahhahha...safi sana mamiiHa ha haa dadiii ndo maana mie nataka nilelewe tu nyumbani naogopa nisijeopoa kama huyu buree...
hahahahahahhahha...safi sana mamiiHa ha haa dadiii ndo maana mie nataka nilelewe tu nyumbani naogopa nisijeopoa kama huyu buree...
Short n clear.mwambie wewe unamchukia sana
Huwezi kuomba ushauri wakati uamuzi umeshaupitisha kichwani kwakoHabari msomaji wa uzi huu.
Hii stori si yangu nimeona vyema nishare nanyi kwa kuwa JF ni jukwaa kubwa lenye watu wanaoweza kushauri.
Stori...
Habari ndg.
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 26 nimeoa nina mtoto mmoja wa miaka mitatu.
Hivi karibuni kuna mdada mmoja amekuwa akinipenda sana, hali hii imesababisha nami nimpende kwa dhati. Maana kila siku jioni lazima afike ofsini kwangu kunipokea.
Hatujawahi kufanya mapenzi. Kinachonishangaza ni kwamba anajua kuwa nina mke, na kila nikimweleza hivyo anasema kuwa ananipenda sana.
Ndugu naomba ushauri wako.
Wanajukwaa hii ndivyo ilivyo, tumshauri huyu mpendwa.
we c una mke????? sasa unataka ushauriwe nn sasa?Habari msomaji wa uzi huu.
Hii stori si yangu nimeona vyema nishare nanyi kwa kuwa JF ni jukwaa kubwa lenye watu wanaoweza kushauri.
Stori...
Habari ndg.
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 26 nimeoa nina mtoto mmoja wa miaka mitatu.
Hivi karibuni kuna mdada mmoja amekuwa akinipenda sana, hali hii imesababisha nami nimpende kwa dhati. Maana kila siku jioni lazima afike ofsini kwangu kunipokea.
Hatujawahi kufanya mapenzi. Kinachonishangaza ni kwamba anajua kuwa nina mke, na kila nikimweleza hivyo anasema kuwa ananipenda sana.
Ndugu naomba ushauri wako.
Wanajukwaa hii ndivyo ilivyo, tumshauri huyu mpendwa.