Jamaniii hapa ndio mr liverpool vpn ninapomkubali japo kuna washenzi wanamponda, wewe mwanamke ni kunguru, paka shume na huyo mmeo akijua huu upumbavu wako nakuomba ujiandalie jeneza nasi tukakuambia urest in peace fala wewe.Ndoa yangu ina miaka 12 mimi na mume wangu hatuna shida, kabla ya mume wangu kuna mwanaume nilikua naye, alikua ni mume wa mtu, nilibeba mimba yake nilipomuambia akaikataa,
Kwakuwa kupindi hicho ndiyo nilikua nimeanza mahusiano na mume wangu nilibambikizia mimba na akanioa. Baada ya kuolewa yule Baba alirudi akaomba msamaha na kusema yuko tayari kuhudumia mwanae hata kama atatumia jina la mume wangu.
Basi nilimkubalia na tangu kipindi hicho alikua anahudumia mwanae kwa kila kitu. Kwakua alikua ananijali na kipato chake ni kikubwa basi nilijikuta narudiana naye, nikabeba mimba yake ya pili, nilimuambia mume wangu ni yake naye akawa anahudumia ila bado yule baba aleindelea kujali wanae mopaka kuwasomesha,
Mume wangu kipato ni cha kawaida ila mimi nafanya kazi pia, anajua nchukua mikopo kwaajili ya ada lakini ukweli Baba yao ndiyo anawasomesha. Niliamua kumazalia mume wangu mtoto mmoja ambaye ndiyo mwanangu wa tatu, lakini mtoto wangu wa nne ni wa yule Baba.
Baadahi ya ndugu zake alishawatambulisha na wanajua watopto wao kwani nilishawapeleka kwa Dada yao. Mwaka jana alianza kuumwa na mwezi huu mwanzoni alifariki dunia. Nilienda kwenye msiba kama watu wengine,
Sababu ya kuja kwako ni hivi, Baba wa wanangu kaacha mtoto mmoja tu na mke wake, lakini ana mali nyingi sana, ana nyumba 9, magari ya mizigo zaidi ya kumi na vitu vingi.
Nimefuatilia na kugundua kuwa hakuacha wosia inamaana mali zake nyingi zimebaki kwa mwanae aliyezaa na mke wake kwani ndugu nao wana mali zao hawhaangaiki naye. Natamani kwenda kudai haki za wanangu kwani kwakua dada yao ananifahamu na anawafgahamu watoto wa Kaka yake naamini nitapata.
Hofu yangu ni kama huyo mke wake atakataa na kusema hanitambui, nahofia kama ikiwa kwenda mahakamani labda mume wangu atajua. Kusema kweli nimechanganyikiwa, ndoa naitaka lakini mnikiwaza haki za wanangu natamani kwend ahata mahakamani, mimi ndiyo napaswa kupata kikubwa kwani nimemzalia watoto wa 3 wakati mke wake ana mmoja tu!
Wewe hata shetani anashangaa ni jinsi gani umekuwa mwanafunzi bora hadi kumzidi mwalimu.Ndoa yangu ina miaka 12 mimi na mume wangu hatuna shida, kabla ya mume wangu kuna mwanaume nilikua naye, alikua ni mume wa mtu, nilibeba mimba yake nilipomuambia akaikataa,
Kwakuwa kupindi hicho ndiyo nilikua nimeanza mahusiano na mume wangu nilibambikizia mimba na akanioa. Baada ya kuolewa yule Baba alirudi akaomba msamaha na kusema yuko tayari kuhudumia mwanae hata kama atatumia jina la mume wangu.
Basi nilimkubalia na tangu kipindi hicho alikua anahudumia mwanae kwa kila kitu. Kwakua alikua ananijali na kipato chake ni kikubwa basi nilijikuta narudiana naye, nikabeba mimba yake ya pili, nilimuambia mume wangu ni yake naye akawa anahudumia ila bado yule baba aleindelea kujali wanae mopaka kuwasomesha,
Mume wangu kipato ni cha kawaida ila mimi nafanya kazi pia, anajua nchukua mikopo kwaajili ya ada lakini ukweli Baba yao ndiyo anawasomesha. Niliamua kumazalia mume wangu mtoto mmoja ambaye ndiyo mwanangu wa tatu, lakini mtoto wangu wa nne ni wa yule Baba.
Baadahi ya ndugu zake alishawatambulisha na wanajua watopto wao kwani nilishawapeleka kwa Dada yao. Mwaka jana alianza kuumwa na mwezi huu mwanzoni alifariki dunia. Nilienda kwenye msiba kama watu wengine,
Sababu ya kuja kwako ni hivi, Baba wa wanangu kaacha mtoto mmoja tu na mke wake, lakini ana mali nyingi sana, ana nyumba 9, magari ya mizigo zaidi ya kumi na vitu vingi.
Nimefuatilia na kugundua kuwa hakuacha wosia inamaana mali zake nyingi zimebaki kwa mwanae aliyezaa na mke wake kwani ndugu nao wana mali zao hawhaangaiki naye. Natamani kwenda kudai haki za wanangu kwani kwakua dada yao ananifahamu na anawafgahamu watoto wa Kaka yake naamini nitapata.
Hofu yangu ni kama huyo mke wake atakataa na kusema hanitambui, nahofia kama ikiwa kwenda mahakamani labda mume wangu atajua. Kusema kweli nimechanganyikiwa, ndoa naitaka lakini mnikiwaza haki za wanangu natamani kwend ahata mahakamani, mimi ndiyo napaswa kupata kikubwa kwani nimemzalia watoto wa 3 wakati mke wake ana mmoja tu!
Thank you Sis!Unazidi kuongeza dhambi ujue....yan sijui dunia ya sasa wanawake tumekuwaje ...kubambikizia watoto ndo imekuwa deal aisee
Hakika yaanThank you Sis!
Imeniumiza Sana jinsi gani baadhi ya wanawake walivyo zaidi ya ibilisi Mwenyewe.
Akianza hyo michakato vipi mume wa ndoa akajua ndoa itakua hatarini na ukute na mali nazo akakosa. Mimi naona atulie tu atafute namna gani atawalea watoto wake mambo ya urithi atemane nayo.Unaweza kuprove hao watoto ni wa huyo aliefariki kwa DNA? Kama ndio basi una fursa ya kupata kitu.
Ila along the way utapoteza kila kitu kingjne. Familia yako, jamii yako na hata watoto wako nao watabadilisha wanavyokuona.
Pima your sanity na mali (ambazo kesi kama hizi huchukua muda kusuluhishwa ila maumivu yataanza immediately ukianza kupursue hili). Ukishaona lipi linafaa zaidi basi liendee hilo.
Ndio sehemu ya maumivu atayokutana nayo haya.Akianza hyo michakato vipi mume wa ndoa akajua ndoa itakua hatarini na ukute na mali nazo akakosa. Mimi naona atulie tu atafute namna gani atawalea watoto wake mambo ya urithi atemane nayo.
Sio wote siwezi fanya umeolewa unazaa njee seriously nimechoka kabisaa akiliWee hawa walishaongea na shetani so ni hatari kabisa.
Wanajidaigi wapole ila hamna lolote wee wagegede tuu.
Eti unabeba mimba 1 ya pili seriously?Wanaume tuna mitihani aisee..unazaa na hawara kisa tu ana pesa..so kwa wakati mmoja ulikuwa unatombwa na wanaume wawili??
Ila wanaume tunalaumiwa sana lkn wanawake ni noma aise
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sii anataka mali kwani unadhani ishu iko wapi....mwanamke hapendi anaangalia life lipo wapiSio wote siwezi fanya umeolewa unazaa njee seriously nimechoka kabisaa akili
Hapana hata kama hubby kasema kwangu nopeSii anataka mali kwani unadhani ishu iko wapi....mwanamke hapendi anaangalia life lipo wapi