Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 18,204
- 17,561
- Thread starter
- #41
Walete Beijing ingine kwa vijana wadogo heshima irudiAaah pale watu walipiga posho ya bure tu
Walete Beijing ingine kwa vijana wadogo heshima irudiAaah pale watu walipiga posho ya bure tu
God ForbidNina iman huo ushauri uliompa uliuacha hapo hapo Morena Hotel, wadada wadangaji nani akatae gari! hiiiiiiiiiiii, hafu kama sikosei hata kukupigia simu hakupigii siku hizi.
But ulikuwa ushauri muruaaaaaaa sana uliompa huyo basha wake hana nia ya kumuoa, coz anataka status ataendela kugegedwa kama mchepuko atashtuka anafikia 40yrs hapo ndo akili itamkaa sawiaa.
ha ha ha haaaaaaGod Forbid
40 yrs is not her Portion
sijaijua hyoo bado wangu ipi hyo nijeKuuuumbe ahahahahaha wakome walizidi
Ndio mana watu wamehamia forum mpya ah kule raha tunatiririka kweli kweli uje
Njoo inbox nitakuambiasijaijua hyoo bado wangu ipi hyo nije
Wamejaa kibaoEti wale wazee wa 'Mpaka tuoane' bado wapo?
Hahahah! Huku ni Nkuhungu kabisa hukuWamejaa kibao
Mabikra huku kwetu Dodoma wakumwaga
Ndio mana madanga hayapati soko
HahahahahahahNi sawa na fisi anayengoja mkono wa binadamu uanguke!!!
owky nakujaaaaNjoo inbox nitakuambia
wanapendewa pochi hamna kingine
hahahahah hawa watoto hawasikii, watoto wa miaka ya 90 sheedahwatakuelewa lakini..????..ungemshauri angalau ajizalie katoto.....maana huyo best yako hana hata dalili za kuchomoka.....
Ila ni kuwakumbusha ni vema
waongo hawaendi MbinguniWanaume ni wachache kuliko wanawake.
Endeleeni kufarijiana.
Huyo rafiki yako azae tu watoto aachane na mawazo ya kummiliki huyo mume wa mwenzie.
Sent using Jamii Forums mobile app