Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
Unapotoa mada lazima uanze na utangulizi ili upate mtiririko mzuri wa hoja. Huu ulikua utangulizi wa Lissu hoja zinakuja.Ni kweli kabisa, kwa muundo wa serikali yetu kile kinachofanywa na serikali kina akisi moja kwa moja msimamo wa rais. Lakini ni vema kuikosoa serikali ya CCM na kuinadi serikali mbadala ya CDM.