britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Mheshimiwa Mohamedi Dewji kwanza pole kwa matatizo ya kutekwa na wazungu wenye kuongea lafudhi ya wa tswana au zulu
Nakuomba uchukue muda wako kupitia vyombo vya habari na media, forums, na publications mbali mbali zinazoongelea kupotea kwako, najua waliokuwa wamekuteka hawakukupa simu kulogin tweeter, fb au hapa JF kwa akaunt yako ile,
1. Usimwamini mtu
2. Urafiki na masikini mwenye madaraka ni wa mashaka kidogo, mnaweza enda wote gym mkalishana keki kwenye birthday, na mkawa mnasapoti club moja lakin kwa tamaa zake akakufanyia mabaya,
3. Mkuu Dewj ongeza ulinzi kwako maana kama waliokuwa wamekuteka wanaweza kuona movie imechezwa vibaya au imebuma wakakumaliza kabisa,
4. Saport yako kwa watu ni kubwa lakin kuna wanaosema hujawahi kuwapa pole waliokuwa wanapotezwa, hivo nashauri kuwa active sana katika masuala hayo na kuonekana umesguswa na majanga saa nyingine kusaidia kabisa, mfano kutoa bilion moja kwa atakayegundua ben saanane alipo,
5. Usiwe unatembea mwenyewe wewe ni tajiri mkubwa mno, usimuache dereva hata siku moja,
6. Usikimbilie kuongea na vyombo vya habari bora ukakaa kimya kwa muda mpaka psychologicaly utakavyopona
Britannica
Nakuomba uchukue muda wako kupitia vyombo vya habari na media, forums, na publications mbali mbali zinazoongelea kupotea kwako, najua waliokuwa wamekuteka hawakukupa simu kulogin tweeter, fb au hapa JF kwa akaunt yako ile,
1. Usimwamini mtu
2. Urafiki na masikini mwenye madaraka ni wa mashaka kidogo, mnaweza enda wote gym mkalishana keki kwenye birthday, na mkawa mnasapoti club moja lakin kwa tamaa zake akakufanyia mabaya,
3. Mkuu Dewj ongeza ulinzi kwako maana kama waliokuwa wamekuteka wanaweza kuona movie imechezwa vibaya au imebuma wakakumaliza kabisa,
4. Saport yako kwa watu ni kubwa lakin kuna wanaosema hujawahi kuwapa pole waliokuwa wanapotezwa, hivo nashauri kuwa active sana katika masuala hayo na kuonekana umesguswa na majanga saa nyingine kusaidia kabisa, mfano kutoa bilion moja kwa atakayegundua ben saanane alipo,
5. Usiwe unatembea mwenyewe wewe ni tajiri mkubwa mno, usimuache dereva hata siku moja,
6. Usikimbilie kuongea na vyombo vya habari bora ukakaa kimya kwa muda mpaka psychologicaly utakavyopona
Britannica