Ushauri: Msichana wangu wa zamani ananitukana

Ushauri: Msichana wangu wa zamani ananitukana

Hakukuwa na matusi wakati wa mahusiano yet, hii ni baada ya kuachana
wala usimblock,watu kama hao akikutukana usimjibu piga kimya,akipiga simu hupokei,ukikaa bila kujibu matusi yake itamwuma sana
 
Back
Top Bottom