Ushauri: Msichana wangu wa zamani ananitukana

Ushauri: Msichana wangu wa zamani ananitukana

IamPrince George

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2014
Posts
412
Reaction score
168
Habari ya wakati huu wadau,

Nilikuwa katika mahusiano na binti mmoja baadae tukaachana vizuri tu. Lakini amekuwa kila mara akinitumia meseji yeye ni matusi tu, :sly:mara wewe malaya umeamkaje, mara we malaya utakufa, akipiga simu maneno yake ni matusi tu,
nimfanyeje wakati tumeshaachana.

Ushauri wenu
 
Usitake shari..mbock tu.....ikishindikana admint police ashike adabu na ajue matumiz ya simu
 
we fanya kumuignore huyo, anatafuta kick ukireact ndo shughuli inaanza
 
Mtu anayekusemea mbovu siku zote muonyeshe anayosema hayakusumbui, then angalia atakavyosumbuka kwanini hausumbuki.

Ila kama bado unamkubali, hiyo ndio njia anayokuonyesha anaumia kukukosa bruh.
 
Hayo matusi yalikuwepo zamani mkitaniana au yameanza baada ya kuachana kiroho safi?
jengine kwanini akushughulishe na wewe huna time nae.
 
Mliachana kwaajili gani?ulimtenda?She wants you to apologize and redeem yourself!!
 
Hakukuwa na matusi wakati wa mahusiano yet, hii ni baada ya kuachana
 
Mliachana kwaajili gani?ulimtenda?She wants you to apologize and redeem yourself!!
Apologize? C'mon! Why would he do that??

Waliachana 'kiroho safi', don't matter who did what. Sasa anatukanwa halafu yeye ndio aombe msamaha?
 
Mrudie, tafuta masela wampige mtungo, atashika adabu hadi kwa watakaomuacha baadae.
 
Apologize? C'mon! Why would he do that??

Waliachana 'kiroho safi', don't matter who did what. Sasa anatukanwa halafu yeye ndio aombe msamaha?

Kama waliachana kiroho safi kwanini amuite malaya?Kuna kitu hakipo wazi hapa!!
 
Huu ndio ushahidi wa matusi yake, na hii ni leo asubuhi.
 

Attachments

  • 1430034385083.jpg
    1430034385083.jpg
    67.8 KB · Views: 1,484
Piga mzigo kwa style ya NO STRING ATTACHED.... bado kipele chake kinawasha huyo....
Hata mie Ex wangu ananisumbua kila siku simu na mawasap kibao kuuliza oohh mie nakumisi Basi nikawa najipigia tu kiroho safi mpaka Leo na my new Gf anamjua sana yeye ndio amekuwa mwizi siku hizi....
 
Kama waliachana kiroho safi kwanini amuite malaya?Kuna kitu hakipo wazi hapa!!
Rahisi sana, she has issues. Hakuwa na hizo hasira wakati wa kuachana, leo zimetoka wapi?

Hizi mambo za kawaida sana, sio bongo tu.
 
Huyo kuku wa kienyeji ulimuokota wapi?

Ndio mkome ku-date vinuka mkojo ona sasa tabu unayoipata hata baada ya kuachana...

Hebu mtafute umtie kerebu mbili tatu...
 
Rahisi sana, she has issues. Hakuwa na hizo hasira wakati wa kuachana, leo zimetoka wapi?

Hizi mambo za kawaida sana, sio bongo tu.
Wanapendana hao rafiki...na si kawaida watu kutukanana kama mliachaana kiroho safi kila mtu ana shika hamsini zake kimya kimya!!
 
Back
Top Bottom