Ushauri: Msichana wangu wa zamani ananitukana

Ushauri: Msichana wangu wa zamani ananitukana

Kimya kitatibu kila kitu...ukimpuuza atajiona kweli amesahauliwa.
 
Naona huyu mwanamke bado anakuhitaji sana but kila akijaribu anaona unampotezea tu, nakushauri kama uko single mrudie taratiibu muulize anataka nini ili hasira zake ziishe atakwambia anakutaka.

Hiyo issue imenikuta miezi michache imepita, ushauri niliokupa hapo juu ndo nimeutumia kumaliza matusi na vitisho vilivyokua vinaniandama kutoka kwa mdada niliyekua nae.

Kwa sasa naishi nae kwa akili sana.
 
Siku zote katika mahusiano mkiachana upande mmoja utaathirika kiuchumi au kisaikolojia. Haiwezi kutokea wote mkaamua kwa pamoja tuachane, lazima kuna mmoja ataanza na mwingine atakubali kwa kuwa hakuna jinsi.

Hayo ndiyo yanayotokea kwako, mwenzako hajakubali matokeo ndani ya moyo wake. Sikushauri ku block bali uwe kimya hiyo itakuwa silaha.

Akikuita wewe malaya kwani amekosea? Kitendo cha kumchoka na kuhamia kwingine na baadae utahamia kwingine ni umalaya, hutulii na mtu mmoja. Tatizo hupendi jina lakini tabia zinazowakilisha hilo jina unazo
 
Kama mshajua weakness za wanawake ndo muwachukulie kama walivyo!Wakati mwengine baadhi ya vitu mtu anaongea kwa hasira tu akili zikimrudia ni full majuto!
Ukijuta then kiri na uweke wazi feelings zako . . . . . . .matusi ya nini sasa kama ana hasira mbona havui cheni akakata kata na kutupa. . . . . . . .
 
Huyo jamaa kuna kitu anaficha!!

Real quick, sio muda mrefu mrefu sana umepita, uliwahi kuanzisha threads humu ukiwakumbusha wanawake wenzio kujiheshimu ili waheshimike, carry themselves with class and what not. Nilikupa nyota zangu nyingi sana 4 such wisdom. Ila hapa naona unaenda tofauti na yale uliyoyaandika kwa kumtetea huyo dada, haijalishi jamaa anaficha nini.
 
Real quick, sio muda mrefu mrefu sana umepita, uliwahi kuanzisha threads humu ukiwakumbusha wanawake wenzio kujiheshimu ili waheshimike, carry themselves with class and what not. Nilikupa nyota zangu nyingi sana 4 such wisdom. Ila hapa naona unaenda tofauti na yale uliyoyaandika kwa kumtetea huyo dada, haijalishi jamaa anaficha nini.
Sijasema ni sawa anavyotukana huyo dada mimi sichukui upande wowote lakini ukiangalia kwa umakini kuna kitu hakipo sawa!!Hata mimi ninao ex zangu lkn sipiti nikatukanana na yoyote.Narudia tena kuna kitu hakipo sawa.Na kama mtu wameachana anamsumbua na matusi juu kwanini anamuweka hata kwenye hio sim yake na kujibizana nae??Hao nishasema wanapendana na wanatakana.
 
Mie x wangu nikimpa matusi kama hayo nahisi tutagawana majengo ya serikali.... mimi hospital yeye jela


Ha ha ha hahahahaa Ximena wewe ni chizi unajua hahahahaaa, loh ndiyo nini kunivunja mbavu hivi... Nimecheka sana...
 
Last edited by a moderator:
Huu ndio ushahidi wa matusi yake, na hii ni leo asubuhi.

Huyu alijiaminisha kuwa huwezi kumuacha na hata hiyo "kiroho safi" alidhani alihisi ni utani tu!!kama unataka kumrudia endelea kujibizana nae...ila kama hutaki kaa kimya wala usimjibu chochote...atajiona mjinga ataacha(ukiendelea kuwasiliana na mtu ulieachana nae uwezekano wa kurudiana ni 99%)
 
Sijasema ni sawa anavyotukana huyo dada mimi sichukui upande wowote lakini ukiangalia kwa umakini kuna kitu hakipo sawa!!Hata mimi ninao ex zangu lkn sipiti nikatukanana na yoyote.Narudia tena kuna kitu hakipo sawa.Na kama mtu wameachana anamsumbua na matusi juu kwanini anamuweka hata kwenye hio sim yake na kujibizana nae??Hao nishasema wanapendana na wanatakana.

Ndio maana hata namba yake sijai save, anasumbua sana
 
Dah mkuu pole sana...sina experience na hayo!
 
Back
Top Bottom