wanaokushauri kupiga chini huyo guy mi siwswlewi, tunajua ndio hakulazimishwa bali na mwanaume yeyote ambaye bado hajaoa ila ana mpenzi tu, binti yeyote akijipitishapitisha bila formula huwa ni kupitia, so si kosa lake.
We mdada unajua ni kiasi gani huyo mwanaume wako alivyo, so subiri majibu ya vipimo, na hata kama ilionesha ndio mimna ni yake, msipanic, kama hampendi kweli hatamuoa na atamuondoa tu home kama mwanaume, yeye ndio anamaamuzi, mimba anaweza akaitunza tu na mtoto akalea, ila kusiwe na ndoa..
Wewe kama umampenda huyo mwamaume wako basi kubaliana na yaliyowafika, na ujasiri unahitajika, usije ukamwacha ukaja kujutia