Ushauri: Mpenzi wangu amempa mimba msichana mwingine

Ushauri: Mpenzi wangu amempa mimba msichana mwingine

Nashukuru kwa ushauri wako . Kiukweli nimevaa ujasiri wa ajabu maana bila Mimi nahisi mpz wangu anaweza kujinyonga au kunywa sumu kwa mawazo...( ni Mbena )..
Hahaha, kweli we mgeni Wa wanaume, wanaume wanajua kupretend had akipate kitu akishapata anakucheka tuu, hapo unakitu ninakuambia hapo anajifanyiza uone kweli alikua anakupenda then mkishakaa vizur atarudisha penz kwa yule mwenye ujauzito kwa kumjulia hali hivyo watakommunicate ata asipoish nae mpaka atakapojifungua ataendelea kumjulia hali mwanae nakutoa matumiz na ata ukifuatilia atakujibu huyu c unamjua nimezaa nae y ujifunge kitanz mapema wakat unaweza kupata mwanaume mwenye kujua dhaman yako, usipokua makin utaleta mrejesho huku
 
Dah! Kama kweli we we unayehitaji ushauri ni mwanamke. Nakushauri utafute mwanaume mwingine huyo tayari atakuwa mume wa mtu labda huyo mwanamke asijifungue. Lakini akizaa na wakapata mtoto mapenzi yao yatakuwa mapyaaaa. Hakuna mwanaume aliyewahi kumzalisha binti/ mwanamke then akamwacha jumla ni bora angekuwa amemzalisha kabla hajanza mahusiano na we we. Mwanaume kwenye hayo mambo akili zetu zinakuwa za kuchaji.
 
Khaaaa! Nakuona unatafuta kilio cha maisha! Huyo mwanaume hata akikuoa kuna siku atakujia na stori kama hii, na vilio na kunywa pombe zaidi ya kipindi hiki! Nyota njema....... Chemsha akili binti
 
Nashukuru kwa ushauri wako . Kiukweli nimevaa ujasiri wa ajabu maana bila Mimi nahisi mpz wangu anaweza kujinyonga au kunywa sumu kwa mawazo...( ni Mbena )..
Muache ajinyonge na hiyo sumu anywe ila hatokuwa mkweli kwako huyo dalili ya mvua ni mawingu
 
Sasa kama ni tamaa tu, tafuta watu wazima kisha hao wazee wawakutanishe wote watatu ili akili mbele yenu kuwa nani anamtaka na huyu mjamzito atamleaje.
Usije kukuta naye hajui ampende nani, na kupelekea kila anayeonana nae anamwambia ni wewe tu. Kama ulivyomshauri ku pretend basi mshauri waendelee na mwisho waoane kabisa.

Shida inayokuja hapa ni kama mtu anayeitisha uchaguzi na mshindi anaye, namaanisha kuwa wewe unaomba ushauri huku ukiwa na majibu kuwa by any means humwachi jamaa. Sasa hapo unatuona kama tunapuyanga tu. Ila kama huna majibu basi achana nae taratibu na ukimpata mwingine ndio umwache rasmi
 
Mkuu nikupe ushauri huyo jamaa usimwache ila huyo mtoto mtarajiwa amuhudumie ni damu yake. Akimkataa wakati kweli ni wake mtapata laana. Huyo jamaa anakupenda kweli na amejifunza ndio maana kapagawa. Sasa mwambie asiwe chapombe ataharibu kila kitu, hayo maji makali atuachie wadau wazoefu. Kumbuka takwimu siku hizi zinaonesha wanaume wa kuoa au kuwa mpenzi wa kudumu ni bidhaa adimu. Kanuni ya Demand and supply uizingatie. Ukimwacha huyo inaweza kukugharimu kumpata mwingine tena alie bora zaidi yake.
 
anaume wasio tumia kilevi huwa ni walevi wa wasketi kuliko kula hivyo whatch out sana
 
kiukweli mwanaume kuwa na mwanamke mmoja ni mara chache sana, huyo alikuwa mpenzi wake na walikubaliana vizuri tu ila inaonyesha kuwa alishamwambia huyo demu kuwa nina girlfriend ambae atakuwa mke kwa baadae, Kwaiyo kusema alilazimishwa ina maana huyo mpenzi wako alitekwa na kupelekwa akamgegede huyo dad? ebu jiongeze tu nawe
 
Imebidi anieleze ukweli wote ndo chanzo cha kujua haya yote
Kaa pembeni uangalie picha linavyoenda, unaweza kuwa unadanganywa aendelee kuwala wote. Utashangaa wanakuja kuzaa na mtoto wa pili unaendelea kumlaumu mwanamke mwenzio wakati huyu mwanaume ndo mtu mbaya... hakufai, acha kulea janga utalia na wa kwenu. Atakosaje maradhi kama analala na watu asiowapenda tena bila kondom, anakujali wewe kweli au hata anajijali mwenyewe?!
Wajinga ndio waliwao, kataa ujinga mama.
 
...
 

Attachments

  • FB_IMG_1491796966245.jpg
    FB_IMG_1491796966245.jpg
    52.2 KB · Views: 41
Ni kweli unayosema ndugu yangu ila nimefikia kusema haya kwa vile mwanaume mwenyewe bado ameshikilia msimamo wake uleule kuwa hamtaki na aondoke kwake nami najitahid kumtuliza ili amuondoe taratibu....

Subiri siku yako ambapo mwanamke mwingine atatumika kukutoa taratibu.
 
alafu ata sikuelewi kabisa ulicho andika,anyway mimi naisi umesha logwa na uyo jamaa maana naona kama movie tu ila jua akili yako haiko sawa nilicho gundua kwako unamwonea uruma anavo lia na kunywa mipombe,tafakar chukua atua.
 
usishangae napenda maandishi mekundu ILA KWA USHAURI WANGU HUYO BINTIE ALIYENG'ANG'ANIA KWA MUMEO MSIMFANYE MBAYA YOYOTE KILICHOBAKI KAMA HIO MIMBA NI YA KWAKE HUYO PATII WAKO BASI AKUBALI KUILEA NA HATIMAE MKOMBOE MTOTO MUMTUNZE HAPI NYUMBANI KWAKO NASEMA HIVI NAMJUA MUNGU VILE JINSI ALIVYO NA ADHABU ZAKE ZA KUADABISHA MNAWEZA KUFANIKIWA KUMTOROKA HUYO BINTI LAKINI HIO MIMBA ITAWALILIA MPAKA MWISHO MWOGOPENI MUNGU KWA KUTELEKEZA MABINTI WA WATU MLIOWATUNDIKA MIMBA AKUBALI KULEA HIO MIMBA KAMA YAKE ILA MAKUBALIANO YA NDOA YAWE NA WEWE ILA MKIIKATAAA MTAKUJA KUYAKUMBUKA HAYA MAANDISHI NDOA ITAKUWA SI NDOA TENA KWA ADHABU ZA ALLAH ATAKAZOWAPA
 
Msaidie mpenz wako ktafuta suluhu coz anaonekana anakupenda.Alichepuka tu lakini anakupenda.
 
Back
Top Bottom