Ushauri: Mnapotula mkumbuke kutupa sabuni ya kuoga

Ushauri: Mnapotula mkumbuke kutupa sabuni ya kuoga

Thread kama hizi ndo zinaua nguvu za kiume na kushusha hadhi ya mwanamke.

How?

Wanaume wanaoanza maisha wakijumlisha hizi gharama wanaona tu the soap and hand principle iwe applied.

Wanawake wanaonekana ni chombo tu cha kutumika kwa starehe ya mwanamme. Kwa staili hii mabinti mtatumika sana hasa mnapokubali kudanganyana.

Yaani design flani kama juke box. Insert a coin to play. BULLSHIT.
Ni kweli, lakini uhalisia ndo UPO HIVYO
 
Jamani mtaniua mimi nipo buzy natengeneza tamthilia sasa mnanifuata inbox!

Sasamekuja niwaonye wanaume wote hwa humu na wengine wote kuwa mnapokutana kimwili na dada zetu mkimaliza muwaachie hela ya;
1. Nauli ya kuondokea kurudi ma kwao
2. Sabuni ya kuogea
3. Nauli ya kuja tena kupigwa mechi
4. Hela za vocha
5. Nauli ya dharura kama bodaboda ili kuwahi eneo la tubio
6. Hela za mavazi yaani nguo za ndani mana mnawachanaga chupi wakati wa purukushani za ku-do!

Jamani kaka zetu popote mnaposoma huu uzi chonde chonde muwaangalie vizuri dadas wa wary

Wengine hata maji ya kuoga hawatoi wanawafukuza tu watoto wa watu hata perfumes ya kujipaka upwiru usinukie njiani hawana

Muwe na ubinaadamu wanaume hata kama maisha yamebana kwani lazima umchukue mtoto wa watu so ujipunyete kuepusha gharama kwani hamjui kuwa watoto wa kike ni gharama?!

Wanaume Mungu Anawaoooonaaa
Toeni Helaaaaa...


Sasa wewe dada yetu hebu
Jamani mtaniua mimi nipo buzy natengeneza tamthilia sasa mnanifuata inbox!

Sasamekuja niwaonye wanaume wote hwa humu na wengine wote kuwa mnapokutana kimwili na dada zetu mkimaliza muwaachie hela ya;
1. Nauli ya kuondokea kurudi ma kwao
2. Sabuni ya kuogea
3. Nauli ya kuja tena kupigwa mechi
4. Hela za vocha
5. Nauli ya dharura kama bodaboda ili kuwahi eneo la tubio
6. Hela za mavazi yaani nguo za ndani mana mnawachanaga chupi wakati wa purukushani za ku-do!

Jamani kaka zetu popote mnaposoma huu uzi chonde chonde muwaangalie vizuri dadas wa wary

Wengine hata maji ya kuoga hawatoi wanawafukuza tu watoto wa watu hata perfumes ya kujipaka upwiru usinukie njiani hawana

Muwe na ubinaadamu wanaume hata kama maisha yamebana kwani lazima umchukue mtoto wa watu so ujipunyete kuepusha gharama kwani hamjui kuwa watoto wa kike ni gharama?!

Wanaume Mungu Anawaoooonaaa
Toeni Helaaaaa...


Sasa wewe dada yetu hebu nelezee ukiwashwa mkononi au popote ukianza kujikuna kwa kutumia kucha za vidole sehemu gani unahisi raha mkono unao kuna au sehemu inayo kunwa???
Sasa nyie tunawakuna halafu kama raha nyie ndo mpata zaidi mnokunwa na cha kusikitisha zaidi sisi tunachoka baada ya mabao kadhaa eti nije kukulipa sabuni nauli etc jamani kina dada jiongezeni sisi tumeshastuka
 
hawa ndo wale wachaga walimu wanawekewa madawa ya kulevya kwenye vyakula au vinywaji alafu wanaliwa na kuibiwa pesa,simu na pesa za kwenye account za bank wakati wametoka nyumbani kamwambia mume wake sina hata shiling kumbe ana mamilion bank kazi kumsumbua mume wake ambaye hana kasimamishwa kazi atoe pesa ya matumizi wakati hana salary, nanyoko kabisa
 
Sasa wewe dada yetu hebu

Sasa wewe dada yetu hebu nelezee ukiwashwa mkononi au popote ukianza kujikuna kwa kutumia kucha za vidole sehemu gani unahisi raha mkono unao kuna au sehemu inayo kunwa???
Sasa nyie tunawakuna halafu kama raha nyie ndo mpata zaidi mnokunwa na cha kusikitisha zaidi sisi tunachoka baada ya mabao kadhaa eti nije kukulipa sabuni nauli etc jamani kina dada jiongezeni sisi tumeshastuka
Baba zenu walifanya yote bila kuchoka

Nyie ndio mjiongeze

Ndio mana mabinti wanakimbilia kwa ma shuga daddy
 
Back
Top Bottom