Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 25,913
- 70,668
Wasijumuishe wote wapo wanaume kweli humu,Na ajabu ukiwa mtu wa kutaka vingi ndio unakosa kabisa
Mtu anaguswa na comment tu haombi no wala anakwambia nitumie no ya wakala tu
Huyo mtoa mada mwenyewe nilimzawadia kazawadi kadogo tu kuna mada yake ilinikuna sasa sijui tuliduduana ama???
Monne penny njoo hapa