Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 18,204
- 17,561
- Thread starter
- #181
Nilikwambia nina haraka?!Haraka ya nini..!? Andika taratibu tu utaeleweka
Nilikwambia nina haraka?!Haraka ya nini..!? Andika taratibu tu utaeleweka
Labda zamaniKuliwa ishakuwa mtaji [emoji23]
Pole sanahawa ndo wale wachaga walimu wanawekewa madawa ya kulevya kwenye vyakula au vinywaji alafu wanaliwa na kuibiwa pesa,simu na pesa za kwenye account za bank wakati wametoka nyumbani kamwambia mume wake sina hata shiling kumbe ana mamilion bank kazi kumsumbua mume wake ambaye hana kasimamishwa kazi atoe pesa ya matumizi wakati hana salary, nanyoko kabisa
Wewe kuwa positive , ila sio mimi katika mambo kama hayowe stay positive sio kuwa negative
not good for ur soul man!
labda uje huklu ujifunze maisha
1. STORY: KUTEGA - SEDUCTION
2. Story: Bora Mchaga Mwizi Kuliko Mpare Bahili....
3. Story: Fumanizi la ukubwani
4. Stori: Jinsi ya Kumtongoza Mwanamke
5. SWALI: JE NI KWELI SIZE YA SEHEMU ZA SIRI INAPIMWA MDOMONI?
haya wee utaishia kujibashia mwenyewe shauriako!Wewe kuwa positive , ila sio mimi katika mambo kama hayo
ahahahahaMnataka nauli,sabuni,nguo ya ndani na show za kibabe ila bado hamridhikagi ukitoka hapo unavipeleka kwa kijamaa chako cha mtaani
Hakuna chakujibashia wala nini, sema wanawake wachache ndio wanaharibu sifa za wanawake wengi ambao ni wastaraabu sana tu ,haya wee utaishia kujibashia mwenyewe shauriako!
kubali ukweli wa maisha
afu uje na huku
STORY: KUTEGA - SEDUCTION
Story: Bora Mchaga Mwizi Kuliko Mpare Bahili....
ukimaliza uje na hukuWewe kuwa positive , ila sio mimi katika mambo kama hayo
HAPA KAZI TU!Money Penny kwenye ubora
POA POA KARIBUHakuna chakujibashia wala nini, sema wanawake wachache ndio wanaharibu sifa za wanawake wengi ambao ni wastaraabu sana tu ,
Huko nakuja usijali ,ila uwe mwenyeweji wangu basi maana nisije kuja na negative zangu watu wakaanza kufua
Poa nipo njiani mkuu
Bado umpeleke kileleni......wanawake bwana too much demandinggesti juu yangu, nauli juu yangu, msosi juu yangu, raha ni zako, ma.ni.i nikupe, pole nikupe, posho nikupe, alla! na sabuni pia!!, ukipata sabuni baadae utataka 'roho' kabisa
Afu wamasema 50 /50 ....idiotThread kama hizi ndo zinaua nguvu za kiume na kushusha hadhi ya mwanamke.
How?
Wanaume wanaoanza maisha wakijumlisha hizi gharama wanaona tu the soap and hand principle iwe applied.
Wanawake wanaonekana ni chombo tu cha kutumika kwa starehe ya mwanamme. Kwa staili hii mabinti mtatumika sana hasa mnapokubali kudanganyana.
Yaani design flani kama juke box. Insert a coin to play. BULLSHIT.