mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,811
- 11,031
Si mpaka baada ya mchezo jamani, teh!Naomba
Si mpaka baada ya mchezo jamani, teh!Naomba
Usipoweza wapo wanaoweza hatufanani mkuuKumpa asiyekupa sawa na kutupa
Cha leo alichovuta kilikuwa kimeexpire lazimaumepigwa ban mwenye uzi
Hawezi kuelewa huyu sasa ye na wenzie wanalilia vocha na nauli ya bodaboda[TAG]Kapeace, Maserati, Kaurucee na MBITIYA[/TAG] nisipo wapa tano nitakuwa sijawatendea haki. [TAG]Money Penny[/TAG] hebu jaribu kuwaomba hawa great thinkers wakusaidie ku edit hiyo thamthilia yako, inaweza kuwa na mashiko zaidi.
Yes tell meSwitty
Acha wampumzishe likizo ikiisha atakuwa sawaHahaha sijui hata kafanya nini
Hahahaha akaandike storyAcha wampumzishe likizo ikiisha atakuwa sawa
Kuwa umeambiwa wanaume wa humu hawadindishi acha dhereu hiyo wewe unawapa wa wapiKumbe na wewe pia unadudulishwaga na hawa wanaume wa JF?!
Yeleuuuwi
Pole
AiseeKila mtu na bahati yake
Kuna watoaji wazuri tu humu sio wanaume wote ni mabahili jamani
Yes mamboAisee
Hapo chachaKuwa umeambiwa wanaume wa humu hawadindishi acha dhereu hiyo wewe unawapa wa wapi
Poa... nimekuona nikashindwa kukaa kimya...Yes mambo
Ok thank youPoa... nimekuona nikashindwa kukaa kimya...
Na mimi nikutumie via Paypal... your email pleaseOk thank you
Ache tuwale tuu, kama wamechagua kuwa tax collector so what???Thread kama hizi ndo zinaua nguvu za kiume na kushusha hadhi ya mwanamke.
How?
Wanaume wanaoanza maisha wakijumlisha hizi gharama wanaona tu the soap and hand principle iwe applied.
Wanawake wanaonekana ni chombo tu cha kutumika kwa starehe ya mwanamme. Kwa staili hii mabinti mtatumika sana hasa mnapokubali kudanganyana.
Yaani design flani kama juke box. Insert a coin to play. BULLSHIT.