Ushauri: Mnapotula mkumbuke kutupa sabuni ya kuoga

Ushauri: Mnapotula mkumbuke kutupa sabuni ya kuoga

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwani hata ukiduduliwa,wanaume wa humu ni madume ya nyani???si ni binaadamu?

Mnadharau wakati humu kuna watu sana ndoa zao,wana wachumba na wapenzi.
Mpunguze dharau..
Uje tena pa siku ile ntalipa chochote utakacho chagua
 
Huyu mtu wanaomshambulia sijui kama wamemuekewa hoja zake.
Anachomaanisha yeye kuwa mapenzi si lazima ulipwe pesa na pesa si lazima mapenzi. Inaweza kuwa kwa jambo lolote zuri. Ingawa siyo dhamira ya mtoa mada kwa hilo.

Anyway,yawezekana pia nikawa sijamwelewa.

Utu ni muhimu zaidi ya kitu.
Wanaume wa humu ni mabahili ndo mantiki ya mada husika kwa nilivyoelewa mimi
 
Yes,ndiyo maana yake.

Anaweza kuwa sahihi lakini vigezo alivyotoa haviko sahihi. Vinalenga kuchafua hadhi ya rafiki wa kike.

Na ubahili haupo kwa JF members tu,hata walio nje ya JF.
Aibu yao walomfata pm na malalamiko ya kulilia sabuni na vocha
 
mlishaona mwanaume tu ndo anafaidika na tendo! akili zitawakaa lini..? hlf mnadai haki sawa! mtasema na kuwaogeshe tuwaogeshe shabash!
Kwani ukimuogesha mpenzi wako kuna tatizo? Ogeshaneni banaaa...
 
Yes,ndiyo maana yake.

Anaweza kuwa sahihi lakini vigezo alivyotoa haviko sahihi. Vinalenga kuchafua hadhi ya rafiki wa kike.

Na ubahili haupo kwa JF members tu,hata walio nje ya JF.
na mimi nimewaandikia wote
 
Back
Top Bottom