Ushauri: Mnapotula mkumbuke kutupa sabuni ya kuoga

Ushauri: Mnapotula mkumbuke kutupa sabuni ya kuoga

Jamani mtaniua mimi nipo buzy natengeneza tamthilia sasa mnanifuata inbox!

Sasamekuja niwaonye wanaume wote hwa humu na wengine wote kuwa mnapokutana kimwili na dada zetu mkimaliza muwaachie hela ya;
1. Nauli ya kuondokea kurudi ma kwao
2. Sabuni ya kuogea
3. Nauli ya kuja tena kupigwa mechi
4. Hela za vocha
5. Nauli ya dharura kama bodaboda ili kuwahi eneo la tubio
6. Hela za mavazi yaani nguo za ndani mana mnawachanaga chupi wakati wa purukushani za ku-do!

Jamani kaka zetu popote mnaposoma huu uzi chonde chonde muwaangalie vizuri dadas wa wary

Wengine hata maji ya kuoga hawatoi wanawafukuza tu watoto wa watu hata perfumes ya kujipaka upwiru usinukie njiani hawana

Muwe na ubinaadamu wanaume hata kama maisha yamebana kwani lazima umchukue mtoto wa watu so ujipunyete kuepusha gharama kwani hamjui kuwa watoto wa kike ni gharama?!

Wanaume Mungu Anawaoooonaaa
Toeni Helaaaaa...


Pale hatuwali kile kitendo ni kukulana na wote tunasikia burudani....

Tunawapa sabuni/maji/nauli/ kwani hyo raha tunaipata wenyewe? hii bdio chanzo cha wanawake kuonekana watu wachini daima

Itafika mahali titawaacha mjile wenyewe tuone kama hamtapata ugonjwa wa kucheka

USHAURI: Mdada ajisimamie mwenyewe kuanzia nauli,maj, sabuni n.k kama hawezi afe na hamu zake........hzo pesa mnazikosahe sisi tuzipateje! #/vyuma vimekaza
 
Rafiki kama chura ya kupiga makofi ipo naomba nitunuku mimi jamani![emoji53][emoji53][emoji53]
51e41ab7b302313d764605a2a1b97596.jpg
IPO km hiyo sijui unatumia!!!
 
Jamani mtaniua mimi nipo buzy natengeneza tamthilia sasa mnanifuata inbox!

Sasamekuja niwaonye wanaume wote hwa humu na wengine wote kuwa mnapokutana kimwili na dada zetu mkimaliza muwaachie hela ya;
1. Nauli ya kuondokea kurudi ma kwao
2. Sabuni ya kuogea
3. Nauli ya kuja tena kupigwa mechi
4. Hela za vocha
5. Nauli ya dharura kama bodaboda ili kuwahi eneo la tubio
6. Hela za mavazi yaani nguo za ndani mana mnawachanaga chupi wakati wa purukushani za ku-do!

Jamani kaka zetu popote mnaposoma huu uzi chonde chonde muwaangalie vizuri dadas wa wary

Wengine hata maji ya kuoga hawatoi wanawafukuza tu watoto wa watu hata perfumes ya kujipaka upwiru usinukie njiani hawana

Muwe na ubinaadamu wanaume hata kama maisha yamebana kwani lazima umchukue mtoto wa watu so ujipunyete kuepusha gharama kwani hamjui kuwa watoto wa kike ni gharama?!

Wanaume Mungu Anawaoooonaaa
Toeni Helaaaaa...


Njoo nikubanjue, ntakupa hivyo vyote...
Kwani nn bhana!!
 
Wewe penny utakuwa sample ya wanawake wasio na bahati ya kupata wanaume wanaojielewa. Njoo kwangu wiki tu utakosa hata hamu ya kupostpost humu
 
Jamani mtaniua mimi nipo buzy natengeneza tamthilia sasa mnanifuata inbox!

Sasamekuja niwaonye wanaume wote hwa humu na wengine wote kuwa mnapokutana kimwili na dada zetu mkimaliza muwaachie hela ya;
1. Nauli ya kuondokea kurudi ma kwao
2. Sabuni ya kuogea
3. Nauli ya kuja tena kupigwa mechi
4. Hela za vocha
5. Nauli ya dharura kama bodaboda ili kuwahi eneo la tubio
6. Hela za mavazi yaani nguo za ndani mana mnawachanaga chupi wakati wa purukushani za ku-do!

Jamani kaka zetu popote mnaposoma huu uzi chonde chonde muwaangalie vizuri dadas wa wary

Wengine hata maji ya kuoga hawatoi wanawafukuza tu watoto wa watu hata perfumes ya kujipaka upwiru usinukie njiani hawana

Muwe na ubinaadamu wanaume hata kama maisha yamebana kwani lazima umchukue mtoto wa watu so ujipunyete kuepusha gharama kwani hamjui kuwa watoto wa kike ni gharama?!

Wanaume Mungu Anawaoooonaaa
Toeni Helaaaaa...


Porojo za nini mama taja bei yako
 
Hivi humu Kumbe watu mnakulanaga enh?...
I'm still behind the scenes....
Wadau tushikane mikono turithishane makoloni hayo Ohoooo...
 
Mimi nazidi sisitiza tu 'TUMIENI CONDOM ADI KWA WAKE ZENU'

Haya penny weka basi dau lako la sabuni [emoji3]
 
Aiseee
Viungo vya chini vinauamia sababu ya kichwa kukosa akili
 
Sasa mbona hoja ya mwenzenu aliyeomba ipitishwe sheria inayozuia kufunuana kabla ya ndoa unainyima mashiko kwa tamaa za hela ya vitu vidogo vidogo?

Kwa mtindo huu kutumika ni muhimu kuliko kujumuika.
 
Sililii hela ya sabuni mkuu so chenji yako baki nayo ebo!!!
Huyu mtu wanaomshambulia sijui kama wamemuekewa hoja zake.
Anachomaanisha yeye kuwa mapenzi si lazima ulipwe pesa na pesa si lazima mapenzi. Inaweza kuwa kwa jambo lolote zuri. Ingawa siyo dhamira ya mtoa mada kwa hilo.

Anyway,yawezekana pia nikawa sijamwelewa.

Utu ni muhimu zaidi ya kitu.
 
Back
Top Bottom