Jogoo wa Shamba II
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 3,638
- 7,146
Bamtu batakorokota benyewe kunyaku::::
Kuoga si bafuni..Kwani siku zote mnaoga wapi?
Asante sana maseratiDespite wa kuwapa faraja,wengine wana family in and out of jf,wengine wana wachumba pia. So ku under estimate watu,mmmmh. Siwezi.
Maana kuna watu washanisaidia name hawajanipiga dudu. Siwezi mdharau mtu etu kisa no way jf
Kwanini asiondoke na ile sabuni ya gesti?gesti juu yangu, nauli juu yangu, msosi juu yangu, raha ni zako, ma.ni.i nikupe, pole nikupe, posho nikupe, alla! na sabuni pia!!, ukipata sabuni baadae utataka 'roho' kabisa
ustaarabu wa hali ya juu sana mkuu,generalization haifaiDespite wa kuwapa faraja,wengine wana family in and out of jf,wengine wana wachumba pia. So ku under estimate watu,mmmmh. Siwezi.
Maana kuna watu washanisaidia name hawajanipiga dudu. Siwezi mdharau mtu etu kisa no way jf
Mwanamke hajawahi kuridhika hata siku moja. Kama MUNGU alo tuumba anaonekana hakuweza je, mwanamme ataweza?gesti juu yangu, nauli juu yangu, msosi juu yangu, raha ni zako, ma.ni.i nikupe, pole nikupe, posho nikupe, alla! na sabuni pia!!, ukipata sabuni baadae utataka 'roho' kabisa
Jamani mtaniua mimi nipo buzy natengeneza tamthilia sasa mnanifuata inbox!
Sasamekuja niwaonye wanaume wote hwa humu na wengine wote kuwa mnapokutana kimwili na dada zetu mkimaliza muwaachie hela ya;
1. Nauli ya kuondokea kurudi ma kwao
2. Sabuni ya kuogea
3. Nauli ya kuja tena kupigwa mechi
4. Hela za vocha
5. Nauli ya dharura kama bodaboda ili kuwahi eneo la tubio
6. Hela za mavazi yaani nguo za ndani mana mnawachanaga chupi wakati wa purukushani za ku-do!
Jamani kaka zetu popote mnaposoma huu uzi chonde chonde muwaangalie vizuri dadas wa wary
Wengine hata maji ya kuoga hawatoi wanawafukuza tu watoto wa watu hata perfumes ya kujipaka upwiru usinukie njiani hawana
Muwe na ubinaadamu wanaume hata kama maisha yamebana kwani lazima umchukue mtoto wa watu so ujipunyete kuepusha gharama kwani hamjui kuwa watoto wa kike ni gharama?!
Wanaume Mungu Anawaoooonaaa
Toeni Helaaaaa...
hahahaha af zinakuaga tele tuKwanini asiondoke na ile sabuni ya gesti?
Kama hukuwahi pewa enzi hizo... hakika wakati huu ambao lubricants zimekuwa adimu, yaweza kuwa ngumu zaidi kuhongwa kiasi kama hicho!!Technic yako imebuma sijawahi pewa hicho kiasi mkuu
Kuna mtu humu humu hana no yangu ya simu nikwambie sasa alifurahishwa na comment tu just a comment alituma laki 6Kama hukuwahi pewa enzi hizo... hakika wakati huu ambao lubricants zimekuwa adimu, yaweza kuwa ngumu zaidi kuhongwa kiasi kama hicho!!
Sijui wanakutana na wanafunzi labda ambao Bado wapo kwa baba na mamaBaadhi ya mada zingine ni za kupuuzwa kabisa kwa sababu zinashusha hadhi ya mwanamke.
Vyote ulivyovitaja hapo juu ni vitu vidogo sana ukilinganisha na thamani ya penzi unalopewa.
Mwanamke atakayeshangilia huu Uzi na kuona umeandika points kwake. Sitamdharau bali pia sitamuona Wa maana sana.
Vyote ulivyovitaja hakuna mwanaume ambaye hawezi kuvitoa Mkuu tena siyo mpaka aambiwe.
Umewahi kutafunwa na nani humu mkuu?Kila mtu na bahati yake
Kuna watoaji wazuri tu humu sio wanaume wote ni mabahili jamani
Hayupo mkuuUmewahi kutafunwa na nani humu mkuu?
You are very correct...Kuna mtu humu humu hana no yangu ya simu nikwambie sasa alifurahishwa na comment tu just a comment alituma laki 6
Sema nimelala njaa sio tumelala njaa mkuu
Rafiki kama chura ya kupiga makofi ipo naomba nitunuku mimi jamani![emoji53][emoji53][emoji53]Hayupo mkuu