Ushauri: Mme hajui kutawadha

Ushauri: Mme hajui kutawadha

fatu2010

Senior Member
Joined
Mar 4, 2014
Posts
173
Reaction score
142
Wakuu hili tatizo analo mme wa mdogo wangu yani hawezi jisafisha vzr na ni mtu mzima unakuta kwenye pichu kuna ile dead matter, ama akitoka job anavaa kanga sasa inapita pale ikweta akivua tu majanga. Nimejaribu kumshauri mdg wangu amwambie tu anasema ameshamtell vya kutosha hadi amechoka.
Hivi anaweza msaidia vip hii hali? Unajua tena kufua divi la mtu mzima na Dar es salama yetu maji shida, tafazali ushauri muhimu mdg wangu kinyaa kinamsumbua na namuonea huruma sana
 
kama ni mume wako utuambie ndo tukushauri ila kama si mume wako basi mwambie mdogo wako aje kuomba ushauri na tutampa!
 
watu wameisha mla tigo huyo ndo maana mda wote anavumja inyaa
 
Wakuu hili tatizo analo mme wa mdogo wangu yani hawezi jisafisha vzr na ni mtu mzima unakuta kwenye pichu kuna ile dead matter, ama akitoka job anavaa kanga sasa inapita pale ikweta akivua tu majanga. Nimejaribu kumshauri mdg wangu amwambie tu anasema ameshamtell vya kutosha hadi amechoka.
Hivi anaweza msaidia vip hii hali? Unajua tena kufua divi la mtu mzima na Dar es salama yetu maji shida, tafazali ushauri muhimu mdg wangu kinyaa kinamsumbua na namuonea huruma sana

Mwambie amtawaze kwa urimi.
 
Inabidi awe anaenda naye bafun mara kwa mara,amfundshe jins ya kujitawadha!au amwitie mshenga wake amweleze,maana hii ni aibu jaman!majanga....!
 
Hilo tatizo linaendana gesi nyingi matumboni, hata akijisafisha haisaidii
 
Khaaaaa, hii nayo ni mada ya kuleta hapa kweli? Wewe ni fatu2010 ama 'FYATU' 2010?
Wakuu hili tatizo analo mme wa mdogo wangu yani hawezi jisafisha vzr na ni mtu mzima unakuta kwenye pichu kuna ile dead matter, ama akitoka job anavaa kanga sasa inapita pale ikweta akivua tu majanga. Nimejaribu kumshauri mdg wangu amwambie tu anasema ameshamtell vya kutosha hadi amechoka.
Hivi anaweza msaidia vip hii hali? Unajua tena kufua divi la mtu mzima na Dar es salama yetu maji shida, tafazali ushauri muhimu mdg wangu kinyaa kinamsumbua na namuonea huruma sana
 
Wahame kwanza dsm kusort issue ya maji kuwa shida. Huo ushauri WA kinyaa na harufu ngoja wake wazoefu.
King'ast unamuambia tu ahame...endelea kidogo akitoka dar aende wapi? Uhakika wa maji upo?
 
Last edited by a moderator:
Mleta mada unachanganya mambo, kwanza kabisa huko unakokuelezea si kutawadha. Huko kunaitwa kustanji. Kutawadha ni "process" nyingine kabisa.

Nakushauri uchukuwe kitabu chenye "hukumu za kustanji" utapata faida kubwa.

Kwa ufupi, yeyote aendae haja kubwa anatakiwa ahakikishe anajisafisha mpaka ule "ulaini" unapotea na hauhisi kabisa. Ni vyema akianza kwa "toilet paper" akamalizia kwa maji kama ana matatizo.

Pia inawezekana ana tatizo la kiafya nashauri akishaelewa kustanji sawa sawa na kama hali inaendelea amuone daktari.
 
Ana tatizo huyo angalia isije kuwa sphinters za njia ya haja kubwa zimelegea chunguza isije kuwa anamegwa
 
Wakuu hili tatizo analo mme wa mdogo wangu yani hawezi jisafisha vzr na ni mtu mzima unakuta kwenye pichu kuna ile dead matter, ama akitoka job anavaa kanga sasa inapita pale ikweta akivua tu majanga. Nimejaribu kumshauri mdg wangu amwambie tu anasema ameshamtell vya kutosha hadi amechoka.
Hivi anaweza msaidia vip hii hali? Unajua tena kufua divi la mtu mzima na Dar es salama yetu maji shida, tafazali ushauri muhimu mdg wangu kinyaa kinamsumbua na namuonea huruma sana

mh! Utayajua tu! Kwahyo umeendda kwa mdogo wako kuchunguza si ndio?? Fua ww hzo nguo maana unalala bure, kula bure unafugwa kwa kila kitu sasa ww kaz yako ni nn hapo?
 
Wakuu hili tatizo analo mme wa mdogo wangu yani hawezi jisafisha vzr na ni mtu mzima unakuta kwenye pichu kuna ile dead matter, ama akitoka job anavaa kanga sasa inapita pale ikweta akivua tu majanga. Nimejaribu kumshauri mdg wangu amwambie tu anasema ameshamtell vya kutosha hadi amechoka.
Hivi anaweza msaidia vip hii hali? Unajua tena kufua divi la mtu mzima na Dar es salama yetu maji shida, tafazali ushauri muhimu mdg wangu kinyaa kinamsumbua na namuonea huruma sana

Kilichokupeleka Kwa mdogo wako ninini?

Umekaribishwa tu' tayari ushaanza kuleta kuleta maneno mbofumbofu waswahili bwana tunakazi kweli kweli. Na ukome kwenda kwa shemeji yako.
 
Wakuu hili tatizo analo mme wa mdogo wangu yani hawezi jisafisha vzr na ni mtu mzima unakuta kwenye pichu kuna ile dead matter, ama akitoka job anavaa kanga sasa inapita pale ikweta akivua tu majanga....

Is this a make up story or typo error?

Mume na upande wa kanga tena....!!!
 
Wakuu hili tatizo analo mme wa mdogo wangu yani hawezi jisafisha vzr na ni mtu mzima unakuta kwenye pichu kuna ile dead matter, ama akitoka job anavaa kanga sasa inapita pale ikweta akivua tu majanga. Nimejaribu kumshauri mdg wangu amwambie tu anasema ameshamtell vya kutosha hadi amechoka.
Hivi anaweza msaidia vip hii hali? Unajua tena kufua divi la mtu mzima na Dar es salama yetu maji shida, tafazali ushauri muhimu mdg wangu kinyaa kinamsumbua na namuonea huruma sana

Divi! Umenikumbusha mbali, wewe ni wa mwaka 47!
 
Labda huyo Mdogo wako hafanyi vitendo yeye si amtawaze vizuri si mkewe shida iko wap asiseme tu nimeshamtell
 
kuna wengine hawana mila za kujitawaza!

labda na yeye anaabudu hizo mila!

just curious!
 
Back
Top Bottom