Ushauri: Mme hajui kutawadha

Ushauri: Mme hajui kutawadha

jibu tosha, akafanye utafiti kwa beberu la mbuzi halinuki hivihivi bali na shombo ya mkojo wa kila siku, hii harufu ni mhimu kwa mbuzi mwenye shida ya ujauzito usaidia kumtambua haraka na kujipendekeza kwa huduma ya kunenenpeshwa!...
Sifa ya beberu kunuka
 
kuomba ushauri ni njia kuu ya kuamini kuwa ubongo wako unafanya kazi chini ya kiwango,kama umeweza kugundua tatizo kwa nini huwezi gundua njia ya kulitatua
 
Unambwembwe sana ww, yaani mme wako leo una mwanika mitandaoni badala ya kuzungumza nae kwa kina unakuja hapa na uongo mrefu eti wa mdogo wako!! Kwani huwa mnashare huyo bwana na mdogo wako hadi ujue kila issue ya bwana ake? Afu unalalama kana kwamba huwa unafua ww? Omba ushauri kama mhusika ni ww na c kudanganya wa2 hapa!!
 
Wakuu hili tatizo analo mme wa mdogo wangu yani hawezi jisafisha vzr na ni mtu mzima unakuta kwenye pichu kuna ile dead matter, ama akitoka job anavaa kanga sasa inapita pale ikweta akivua tu majanga. Nimejaribu kumshauri mdg wangu amwambie tu anasema ameshamtell vya kutosha hadi amechoka.
Hivi anaweza msaidia vip hii hali? Unajua tena kufua divi la mtu mzima na Dar es salama yetu maji shida, tafazali ushauri muhimu mdg wangu kinyaa kinamsumbua na namuonea huruma sana

Mambo mawili ukubali moja:
1 Hii story inakuhusu mwenye!
2 Ninyi [wewe na huyo unaemsemea] ni wapuuzi!!!! Kwanini ni wapuuzi?
...
Moja miongoni mwa nguzo za kusimamisha ndoa iliyobora! Kunakitu kinaitwa USIRI. Siri inajenga kujiamini na kupunguza maadui ktk ndoa yenu!
Itakuaje aje kukuambia siri hiyo? Ivi haoni ameshakujengea dharau dhidi ya me wake?
Na kama huyo me aliashaambiwa weakness hiyo na ameshindwa kujirekebisha, jee unataka tukamtawazishe?
...
Just imagine, tatizo hilo angekuwa nalo baba yako, na mmeshaongea nae kuhusu hilo tatizo, but hajabadilika, jee ungetoka na kwenda kumwambia shoga yako?
 
Niliposoma soma kichwa cha habari nilipta mashaka kufungua huu uzi.. ila nikajipa moyo.. mmmh kumbe ni yale yale ngoja niachie wenye ushauri.. me hapa ni empty ushauri
 
Mambo mawili ukubali moja:
1 Hii story inakuhusu mwenye!
2 Ninyi [wewe na huyo unaemsemea] ni wapuuzi!!!! Kwanini ni wapuuzi?
...
Moja miongoni mwa nguzo za kusimamisha ndoa iliyobora! Kunakitu kinaitwa USIRI. Siri inajenga kujiamini na kupunguza maadui ktk ndoa yenu!
Itakuaje aje kukuambia siri hiyo? Ivi haoni ameshakujengea dharau dhidi ya me wake?
Na kama huyo me aliashaambiwa weakness hiyo na ameshindwa kujirekebisha, jee unataka tukamtawazishe?
...
Just imagine, tatizo hilo angekuwa nalo baba yako, na mmeshaongea nae kuhusu hilo tatizo, but hajabadilika, jee ungetoka na kwenda kumwambia shoga yako?
Well said
 
Is this a make up story or typo error?

Mume na upande wa kanga tena....!!!

hata mimi hapo pamenishangaza yaani akitoka kazini anavua nguo na kuvaa kanga tena bila nguo ya ndani maana kanga itaingiaje ikweta na kutoka na nya kama atakua amevaa walau nguo ya ndani
 
Huyu Bwana "mchamba vibaya" ana dalili za UBWABWA.......

Hahaha!!!..

Eti kidume ana doti za kanga, halafu hiyo kanga ikivaliwa tu yazama mfereji wa Suez...huenda jamaa hata kufuli havai huyo na hizo ni dalili mbaya kwa kidume kuwa na tabia hizo.
 
Astaghafiril-laah. Zumbe Atogolwe. Hujui ulitendalo fatu.
 
Huyo anakazwa ---- limelegea.... Mzigo unaporomoka wenyewe tu haaahaaaa haaa Chezea paip wewe!
 
Mleta mada unachanganya mambo, kwanza kabisa huko unakokuelezea si kutawadha. Huko kunaitwa kustanji. Kutawadha ni "process" nyingine kabisa.

Nakushauri uchukuwe kitabu chenye "hukumu za kustanji" utapata faida kubwa.

Kwa ufupi, yeyote aendae haja kubwa anatakiwa ahakikishe anajisafisha mpaka ule "ulaini" unapotea na hauhisi kabisa. Ni vyema akianza kwa "toilet paper" akamalizia kwa maji kama ana matatizo.

Pia inawezekana ana tatizo la kiafya nashauri akishaelewa kustanji sawa sawa na kama hali inaendelea amuone daktari.

shukrani kwa kuniongezea maarifa...
 
Hebu tuache kuhukumu ndugu zangu, naona baadhi ya wachangiaji wamekwenda kwenye hitimisho moja kwa moja kuwa jamaa anafanyiwa liwaatwi(anagegedwa). nashauri aende kwa wataalam wa afya huenda ana tatizo linalohusiana na bawasili"haemoroids" au pia huitwa "haemoroditomy" (samahani sina hakika na spellings za hizo biological terms, i stand to be corrected). Wenye tatizo hilo hukumbwa na hali kama hiyo.
 
Mwanaume anavaaga TAURO/ PENSI akiwa sebuleni amepumzika na kucheki cheki muvi....... Kanga TENA? Hilo Mbona BWABWA AISEE!
 
Back
Top Bottom