Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 21,854
- 26,093
swali hili aulizwe yoweri museveni atashauri vyema
Mkuu FaizaFoxy msaidie kitabu cha baabuMleta mada unachanganya mambo, kwanza kabisa huko unakokuelezea si kutawadha. Huko kunaitwa kustanji. Kutawadha ni "process" nyingine kabisa.
Nakushauri uchukuwe kitabu chenye "hukumu za kustanji" utapata faida kubwa.
Kwa ufupi, yeyote aendae haja kubwa anatakiwa ahakikishe anajisafisha mpaka ule "ulaini" unapotea na hauhisi kabisa. Ni vyema akianza kwa "toilet paper" akamalizia kwa maji kama ana matatizo.
Pia inawezekana ana tatizo la kiafya nashauri akishaelewa kustanji sawa sawa na kama hali inaendelea amuone daktari.