Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,430
- 108,589
kwakuwa anapenda hiyo kazi na ana uzoefu nayo mpe mtaji afunguwe kapub kake ka kishkaji na yeye ataajili pia.
Jirani yangu kuna mother mmoja ana bar macounter na wahudumu ni mabinti zake 3 warembo mmoja ana degree wa pili anafanya masters na watatu yupo Udsm.
Huwezi kuamini hii bar haina wateja wengi ila ndio inaongoza kwa mauzo. hii ni habari ya kweli na siyo story.
Yule binti wa kwanza anafanya kazi sehemu akirudi kazini ndio anajoin, mchana kama wote hawapo mama mtu anakomaa mwenyewe.
Jirani yangu kuna mother mmoja ana bar macounter na wahudumu ni mabinti zake 3 warembo mmoja ana degree wa pili anafanya masters na watatu yupo Udsm.
Huwezi kuamini hii bar haina wateja wengi ila ndio inaongoza kwa mauzo. hii ni habari ya kweli na siyo story.
Yule binti wa kwanza anafanya kazi sehemu akirudi kazini ndio anajoin, mchana kama wote hawapo mama mtu anakomaa mwenyewe.