Ushauri : Mdude achunguzwe kama kalishwa sumu

Ushauri : Mdude achunguzwe kama kalishwa sumu

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
137,574
Reaction score
272,320
Tunashukuru Mdude Chadema amepatikana,ila nina mpa ahadi kama rafiki yangu, asij.jpg


Hii ni muhimu sana kwa sababu ni dhahiri waliomteka ni watu waliotumwa kumuua , sasa kwa vile kelele zimekuwa kubwa mno , kwenye nyumba za ibada , kwenye vijiwe , mitandaoni na hata nje ya nchi , wauwaji wakaona aibu wakawaelekeza watumwa wao wa kuuwa watu kumtupa jalalani ili aokotwe, hawakumwachia kwa kupenda , bali kwa kuzidiwa na nguvu ya umma.

Ni vema kuchunguza matumizi ya sumu kwa vile roho mbaya ya watu hawa inafahamika , kuna mashaka makubwa sana kwamba wanaweza kuwa wamempa sumu ili afe taratibu.

Nakala kwa John Mnyika na Saed Kubenea
 
Nani wakumchunguza sasa kama kalishwa sumu?..

Shida kubwa ya upinzani Tanzania mpaka sasa hauko kimipango kwa maana ya well organized kupambana na adui.
Unapopambana na adui kama CCM lazima uhakikishe una mifumo ya uhakika ya kudeal na mambo tofauti yanayofanywa kama hujuma ikiwa pamoja na masuala kama haya, kutegemea tu nguvu ya wananchi pasipo kuwaunganisha usitegemee vitu kama hivi vitakoma na mwisho wa siku wengi watakata tamaa na kufanikisha mbinu ya adui CCM..

CCM wanauchezea upinzani wa Tanzania kwa namna wanayotaka maana wanajua udhaifu mkubwa uliopo, lack of well organized system from the bottom to the top kwenye upinzani ambao utajiendesha automatic kwenye kila kinachotokea..
 
Nani wakumchunguza sasa kama kalishwa sumu?..

Shida kubwa ya upinzani Tanzania mpaka sasa hauko kimipango kwa maana ya well organized kupambana na adui.
Unapopambana na adui kama CCM lazima uhakikishe una mifumo ya uhakika ya kudeal na mambo tofauti yanayofanywa kama hujuma ikiwa pamoja na masuala kama haya, kutegemea tu nguvu ya wananchi pasipo kuwaunganisha usitegemee vitu kama hivi vitakoma na mwisho wa siku wengi watakata tamaa na kufanikisha mbinu ya adui CCM..

CCM wanauchezea upinzani wa Tanzania kwa namna wanayotaka maana wanajua udhaifu mkubwa uliopo, lack of well organized system from the bottom to the top kwenye upinzani ambao utajiendesha automatic kwenye kila kinachotokea..
nimekuelewa
 
View attachment 1092657

Hii ni muhimu sana kwa sababu ni dhahiri waliomteka ni watu waliotumwa kumuua , sasa kwa vile kelele zimekuwa kubwa mno , kwenye nyumba za ibada , kwenye vijiwe , mitandaoni na hata nje ya nchi , wauwaji wakaona aibu wakawaelekeza watumwa wao wa kuuwa watu kumtupa jalalani ili aokotwe, hawakumwachia kwa kupenda , bali kwa kuzidiwa na nguvu ya umma.

Ni vema kuchunguza matumizi ya sumu kwa vile roho mbaya ya watu hawa inafahamika , kuna mashaka makubwa sana kwamba wanaweza kuwa wamempa sumu ili afe taratibu.

Nakala kwa John Mnyika na Saed Kubenea
hilo neno mujarabu kwani hatuwezi kujua. naunga mkono kwa dhati
 
Nani wakumchunguza sasa kama kalishwa sumu?..

Shida kubwa ya upinzani Tanzania mpaka sasa hauko kimipango kwa maana ya well organized kupambana na adui.
Unapopambana na adui kama CCM lazima uhakikishe una mifumo ya uhakika ya kudeal na mambo tofauti yanayofanywa kama hujuma ikiwa pamoja na masuala kama haya, kutegemea tu nguvu ya wananchi pasipo kuwaunganisha usitegemee vitu kama hivi vitakoma na mwisho wa siku wengi watakata tamaa na kufanikisha mbinu ya adui CCM..

CCM wanauchezea upinzani wa Tanzania kwa namna wanayotaka maana wanajua udhaifu mkubwa uliopo, lack of well organized system from the bottom to the top kwenye upinzani ambao utajiendesha automatic kwenye kila kinachotokea..
Kaka ninyepesi kuandika Kama ww. Ungekua field ndo ungejua kua upinzani umepigwa pin ya hatar tz.
 
View attachment 1092657

Hii ni muhimu sana kwa sababu ni dhahiri waliomteka ni watu waliotumwa kumuua , sasa kwa vile kelele zimekuwa kubwa mno , kwenye nyumba za ibada , kwenye vijiwe , mitandaoni na hata nje ya nchi , wauwaji wakaona aibu wakawaelekeza watumwa wao wa kuuwa watu kumtupa jalalani ili aokotwe, hawakumwachia kwa kupenda , bali kwa kuzidiwa na nguvu ya umma.

Ni vema kuchunguza matumizi ya sumu kwa vile roho mbaya ya watu hawa inafahamika , kuna mashaka makubwa sana kwamba wanaweza kuwa wamempa sumu ili afe taratibu.

Nakala kwa John Mnyika na Saed Kubenea
Ths is most likely. CDM msilichukulie jambo hili kimzaha. huyu inawezekana sana kalishwa slowly killing poison! time will tell! It will be too late
 
Nani wakumchunguza sasa kama kalishwa sumu?..

Shida kubwa ya upinzani Tanzania mpaka sasa hauko kimipango kwa maana ya well organized kupambana na adui.
Unapopambana na adui kama CCM lazima uhakikishe una mifumo ya uhakika ya kudeal na mambo tofauti yanayofanywa kama hujuma ikiwa pamoja na masuala kama haya, kutegemea tu nguvu ya wananchi pasipo kuwaunganisha usitegemee vitu kama hivi vitakoma na mwisho wa siku wengi watakata tamaa na kufanikisha mbinu ya adui CCM..

CCM wanauchezea upinzani wa Tanzania kwa namna wanayotaka maana wanajua udhaifu mkubwa uliopo, lack of well organized system from the bottom to the top kwenye upinzani ambao utajiendesha automatic kwenye kila kinachotokea..
CCM ni nini? CCM ni dola, sasa unategemea hawa wapinzani wanaweza kushindana na hila za dola?? Silaha kubwa ya wapinzani ni kuwasema CCM kwa wananchi tu na hili ndilo wanalolifanya.

Siku ambayo wananchi watasema YATOSHA, ndiyo utakuwa mwisho wa CCM. Awareness ya wananchi imeongezeka sana tatizo sasa CCM aka dola inatumia mbinu ya kuwaogofya ili wasiendelee kupeana elimu ya uraia hasa hawa viongozi wa vyama vya upinzani wanaozunguka huko na kule wakifundisha haki za wananchi kwenye taifa lao. Kuzuia mikutano ya kisiasa hadhara ni muendelezo huo huo.
 
Suruali ya Mdude ina kama weupe weupe fulani kwenye mapaja ,wamchunguze kama hajafanyiwa kitu mbaya
 
Suruali ya Mdude ina kama weupe weupe fulani kwenye mapaja ,wamchunguze kama hajafanyiwa kitu mbaya
Dah kiongozi, hebu jitazame! Una mwili wenye nyama na damu kama binadamu wengine. Siasa za mirengo tofauti zisitutoe ubinadamu wetu. Hapa duniani tunapita tu. Jitahidi kuhudhuria ibada na misiba utanielewa.
 
Sisi kama chadema hatuna huo muda, maadam amepatikana ni jambo la kheri.
 
View attachment 1092657

Hii ni muhimu sana kwa sababu ni dhahiri waliomteka ni watu waliotumwa kumuua , sasa kwa vile kelele zimekuwa kubwa mno , kwenye nyumba za ibada , kwenye vijiwe , mitandaoni na hata nje ya nchi , wauwaji wakaona aibu wakawaelekeza watumwa wao wa kuuwa watu kumtupa jalalani ili aokotwe, hawakumwachia kwa kupenda , bali kwa kuzidiwa na nguvu ya umma.

Ni vema kuchunguza matumizi ya sumu kwa vile roho mbaya ya watu hawa inafahamika , kuna mashaka makubwa sana kwamba wanaweza kuwa wamempa sumu ili afe taratibu.

Nakala kwa John Mnyika na Saed Kubenea
Ila kabla ya kuchukua hivyo vipimo atueleze ukweli nini kilimsibu hizo siku tatu ningumu kuamini kua alipigwa na chupa na viatu na kuzimia siku tatu na kuzinduka vichakani .afunguke kwanza maana ana tupa mashaka na maswali mengi
 
Back
Top Bottom