Hatumii vitu hivyo ndio maana mawasiliano yanakuwa magumu. Ana namba ya simu ,kama upo tayari ntl.Ni pm email yake au account yake ya facebook alafu nimpige saundi akiingia bila kuniambia upo wewe au akasema hajawahi kuwa na mpenzi nadhani hiyo itakuwa visibility outcome then you will need to let her go.
Mawasiliano finyu yeye pesa tu! Tafta mchumba huko huko mwaya.
ina maana malaya wa hapa bongo wako udsm 2,wee vp?
Sometym majukumu, unielewe tu mama watoto wangu.
huwa napenda sana kusoma ushauri wenu wasichana hasa kwa masuala yanayowahusu ninyi(wasichana au wanawake)
Habari wanajf. Mimi ni kijana wa kiume. Nathubutu kusema nina mpenzi Tanzania-Dar na mimi nipo ughaibuni kwa masomo tangu october 2009 hadi 2013. Huyu mpenzi wangu anasoma Diploma BA Alinitaarifu kufiwa na baba yake. Pia aliniambia kapoteza simu, nilipomuuliza how akanimbia kwa utani we elewa tu nimepoteza simu, nikawa nampigia kupitia simu ya mama yake. Baada ya kuchukua muda mrefu bila simu nilimwambia kaka yangu ampe pesa anunue simu lakini aliniambia kuwa alinunua vitabu na si simu,nikaendelea kumpigia kupitia simu ya mama yake. Kuna muda aliniambia kuwa alipewa ada na kwa bahati mbaya aliipoteza ,hivyo tayari alishanitumia maombi ya ada laki 2,ingawa nilifanikiwa kumwelekeza kuwa kwa kipindi hiki nisingeweza kumsaidia mpaka december. Hivi karibuni nilimpigia mama yake na kunieleza kuwa tayari alishakuwa na simu[kwa nini asingeweza walau kunitumia sms kuwa sasa ana simu?] na nikampigia na kweli niliongea naye akanieleza kuwa sasa anatafuta hostel{hivyo anahitaji pesa toka kwangu}. Sasa kaka yangu aliyemtumia pesa alinishauri niachane naye kwa sababu anapenda sana pesa{ni nusu mchaga) kiasi kwamba hata hakuweza kutoa shukrani kwake.Niliwahi kumpa kazi ndogo ya kunitafutia information pale benki za Dar lakini hakunijibu chochote. Mpaka sasa nafikiri kumpigia simu na kumhoji maswali ambayo yatamwonesha kweli nipo mguu mmoja nje mwingine ndani. Yeye ni mzuri na anafikiri kuwa nimempenda kupindikua labda pia kinachomfanya anitie mashaka juu ya upendo wake kwangu. Ndugu zangu naombeni mnieleze iwapo kwa maelezo haya ninapendwa? au inayopendwa ni pesa yangu nilyonayo? Mimi sioni any kind of care hapo.Kwa hiyo nataka baada ya hapo nitafute kimwana huku na nianze kuishi maisha.
...so materialistic kind of love, nadhani unachangia kwa kiwango kikubwa kumyumbisha mwenzio.
unadhani mapenzi ni simu, pesa, kutumana bank nk? unadhani ukimpigia simu kumtishia upo mguu ndani mguu nje ndio uta solve au ndio kwanza utampa go ahead kwa anavyojiskia kutokukuamini na wewe?
...ninavyoitafsiri kesi yako...yeye anakuona unamtumia, na wewe unamuona unamtumia.--hamuaminiani!--
hizo doubts ulizonazo juu ya tabia zake bongo, ndio naye anavyo doubts tabia zako ughaibuni.
kisu hiki, inategemeana umeshikilia mpini au makali...
...peaneni 'healthy' distance, siku bado zipo za nyie wawili kusomana. matukio haya ya misunderstandings na
lack of communication, sababu ya long distance ni mambo ya kawaida kabisa....inategemeana na wenyewe akili
zenu zinavyoweza ku handle challenges kwa kipimo cha mapenzi na uaminifu wenu.
kumbuka, katika kipindi hiki ndipo wanawake wengi wanapofanya maamuzi ya mume anayefaa kumuoa,...
hizo chenga unazompiga kuhusu kumsaidia kipesa, zinamjengea hisia kwamba hata huko mbele ya safarai utakuwa mume wa aina hiyo hiyo ...
nawe hebu soma kwanza, mapenzi baadae...
Thanks nitaufanyia kazi ushauri wako.Kuna uwezekano kwamba anakutumia bila kuwa na malengo yoyote na wewe... Kuna uwezekano kwamba anakutumia akijua wewe ni wake na yeye ni wako. Swala la simu na kusaidiana pesa sio kama vimeanza leo. Muhimu ni ujue kama mwenzako yupo kwenye ukurasa sawa na uliopo wewe au la. Ongea nae umweleze kwamba wewe unataka kweli mahusiano yenu yafike mbali je yeye anatakaje? Kma nae atasema anataka muendelee unaweza ukapunguza hiyo misaada au ukaacha kwa muda mkabaki na mawasiliano tu kujua kama yuko na wewe kwaajili ya vijisenti tu au la. Ila swala la kutishana achana nalo....kua mwanaume na sio mtoto wa kiume.
You are right....so materialistic kind of love, nadhani unachangia kwa kiwango kikubwa kumyumbisha mwenzio. unadhani mapenzi ni simu, pesa, kutumana bank nk? unadhani ukimpigia simu kumtishia upo mguu ndani mguu nje ndio uta solve au ndio kwanza utampa go ahead kwa anavyojiskia kutokukuamini na wewe? ...ninavyoitafsiri kesi yako...yeye anakuona unamtumia, na wewe unamuona unamtumia.--hamuaminiani!-- hizo doubts ulizonazo juu ya tabia zake bongo, ndio naye anavyo doubts tabia zako ughaibuni. kisu hiki, inategemeana umeshikilia mpini au makali... ...peaneni 'healthy' distance, siku bado zipo za nyie wawili kusomana. matukio haya ya misunderstandings na lack of communication, sababu ya long distance ni mambo ya kawaida kabisa....inategemeana na wenyewe akili zenu zinavyoweza ku handle challenges kwa kipimo cha mapenzi na uaminifu wenu. kumbuka, katika kipindi hiki ndipo wanawake wengi wanapofanya maamuzi ya mume anayefaa kumuoa,... hizo chenga unazompiga kuhusu kumsaidia kipesa, zinamjengea hisia kwamba hata huko mbele ya safarai utakuwa mume wa aina hiyo hiyo ... nawe hebu soma kwanza, mapenzi baadae...
kaka ninasikitika kukwambia kwamba huyu unayemwita mpenzi wako wako ni mpenzi wa watu. yuko kwako kwa ajili ya vitu flani na laiti kama kweli angekuwa anakupenda nadhani wewe ungekuwa mtu wa kwanza kukwambia kama kanunua simu. nahisi ana mwingine na mimi ninavyojua watoto wa chuo kukaa bila simu kwa sasa ni jambo gumu achilia mbali wa secondary. wako radhi hata karo wakanunulie simu sasa huyoo mpenzi wako kukwambia kwamba hakuwa na simu kwa hicho kipindi chote ama kweli inatia shaka. halafu mbona matatizo yake hayaishi. najua inawezekana kwao hawana uwezo na si vibaya kumsaidia mpenzi wako lakini naye aoneshe fadhila kwa kila unachomfanyia kwani asikutafte tu pale anapokuwa ana shida kwani waswahili walisema ukibebwa jishikie usingoje aliye kubebe akuachia. piga chini we watoa si ajabu wengine wanapewa bure.
Mbu sasa nieleze katika hii situacion unafikiri mapenzi yanatakiwa yawe ya stail gani? Kwa mfano kama yy ndiye yupo Dar na ndiye anayeweza kunisaidia ,zaidi ya hayo anaposoma zipo bank zipo naye anasoma mambo hayohayo. kwa HIYO nilitegemea yeye ndo awe my help at that point....so materialistic kind of love, nadhani unachangia kwa kiwango kikubwa kumyumbisha mwenzio. unadhani mapenzi ni simu, pesa, kutumana bank nk? unadhani ukimpigia simu kumtishia upo mguu ndani mguu nje ndio uta solve au ndio kwanza utampa go ahead kwa anavyojiskia kutokukuamini na wewe? ...ninavyoitafsiri kesi yako...yeye anakuona unamtumia, na wewe unamuona unamtumia.--hamuaminiani!-- hizo doubts ulizonazo juu ya tabia zake bongo, ndio naye anavyo doubts tabia zako ughaibuni. kisu hiki, inategemeana umeshikilia mpini au makali... ...peaneni 'healthy' distance, siku bado zipo za nyie wawili kusomana. matukio haya ya misunderstandings na lack of communication, sababu ya long distance ni mambo ya kawaida kabisa....inategemeana na wenyewe akili zenu zinavyoweza ku handle challenges kwa kipimo cha mapenzi na uaminifu wenu. kumbuka, katika kipindi hiki ndipo wanawake wengi wanapofanya maamuzi ya mume anayefaa kumuoa,... hizo chenga unazompiga kuhusu kumsaidia kipesa, zinamjengea hisia kwamba hata huko mbele ya safarai utakuwa mume wa aina hiyo hiyo ... nawe hebu soma kwanza, mapenzi baadae...
Mkuu this is more than ushauri. Thanks kaka.Ukiona mwanamke wako anakupuuzia vitu vidogo hiyo ni dalili ya dharau.Sasa kama unaona anakudharau wakati bado hujamuoa,tafadhali mkuu,ACHANA NAYE MAPEMA! Ogopa sana mwanamke anayekudharau!Tena wanaume wengi huwa tunagundua huu ugonjwa mapema ila tunapuuzia tu,halafu baadaye yanatupata matatizo.Guys,if u can't run your lady,you are DOOMED! ACHANA NAYE!!!! Mwanamke wako asipokuheshimu,usisubiri upewe ushauri coz mapenzi sio kurekebishana mapungufu yetu,ni kukubaliana.We are not perfect,so,before you love someone,make sure your imperfections coincide!!!!