Ushauri; mahala pazuri pa kuweka pick-up ya kukodisha

msakapesa

Member
Sep 19, 2013
26
17
Habari ya kazi. Mimi ni graduate ila home kuna gari aina ya pick up, sasa shida yangu ni weke wapi kwenye vijiwe vizuri ili iweze kuwa ya kukodishwa, maana niliwauliza watu wa vijiweni wakaniambia we nenda nje ya mji wanapojenga nyumba uwe unabebea maji. Naomba ushauri maana ni mgeni kwenye hii biashara nataka nijikwamue kiuchumi.
uwezo wa Pick Up ni kubeba tani moja
 
We mpe dreva aweke kijiwe anachujua yeye, patana naye kipande shs ngapi kwa siku, mafuta juu yake na matengenezo madogo, halafu makubwa wewe, na uwe unadai hiyo hela kila wiki. Of course siku nyingine atakupa pungufu kidogo kwa madai biashara mbaya lakini mwangalie asizid sana tabia hiyo.
 
We mpe dreva aweke kijiwe anachujua yeye, patana naye kipande shs ngapi kwa siku, mafuta juu yake na matengenezo madogo, halafu makubwa wewe, na uwe unadai hiyo hela kila wiki. Of course siku nyingine atakupa pungufu kidogo kwa madai biashara mbaya lakini mwangalie asizid sana tabia hiyo.

wakati nipo chuo walimpa dereva akawa analeta longolongo. sasa nimeambiwa kama nataka nifanye hyo biashara lazima mimi niwe ndo mfanyakazi mkuu. maana huwezi ajiri dereva wakati wewe umekaa home. ndo maana nkaomba ushauri
 
kipande kwa siku ni shilingi ngapi?
pick-up aina gani na yenye uwezo gani?
hali ya gari ipo vipi?
mafuta inatumiaje?
imelipiwa ushuru na bima?
bima gani imelipiwa? comprehensive or third part?
 
kipande kwa siku ni shilingi ngapi?
pick-up aina gani na yenye uwezo gani?
hali ya gari ipo vipi?
mafuta inatumiaje?
imelipiwa ushuru na bima?
bima gani imelipiwa? comprehensive or third part?
toyota hii gari ni nzima , mafuta inatumia km9-10 kwa lita, ina vibali vyote vya kukaa barabarani. bima ni thirdparty.
hii ni picha ya ilivyo c kwamba mpya ila imetumika sana. nimedownload kwenye mtandao kwa kujibu swali la aina gani.. 02.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom