Ushauri: Long Distance marriage

Olewa tu Kama man pendana Mungu atawasaidia.
 
Mara nyingi mwanamke ndo anatakiwa kuhama! Kwa mda huu jaribu kitafuta kazi alipo akati bado upon hapohapo kazini kwako. Muombe ata akusaidie kutafuta. Ukipata endeleeni na process ya ndoa. Long distance marriage hua hazi work kwakweli. Lazima mmoja wenu a sacrifise kuhama.
 
dada suala la ndoa ni la milele, ila suala la kazi waweza pata pengine...cha kufanya
1: kama kampuni/taasisi unayofanya kazi ina tawi mwanza ongea na boss wako uombe uhamisho wa kikazi kwenda mwanza/mikoa ya kanda ya ziwa, na state clearly kwamba nakaribia kufunga ndoa na mwenza ngu yupo mwanza.
2: kama haiwezekani kupata uhamisho huo aidha kwa kuwa kampuni/taasisi hiyo haina ofisi mwanza /mikoa ya kanda ya ziwa basi acha kazi nenda mwanza kakae na mwenzako, kwakuwa ye anayokazi ataweza kukutafutia kazi au mkafungua kitu ukawa unasimamia.
hapo ni suala la kuthaminisha tu maana utaokoa kazi ila utampoteza ambapo kupata uonaye anafaa kama huyo ni ghali sana na itakugharimu pengine usipate atakayejaa nafsini mwako kama huyo.
ni kweli kuwa mbali hivyo ni rahisi kutekwa maana hali ya sasa waname ikijulikana una kazi afu wadada hawakuoni na mtu watakutafuta kwa nguvu zote hadi utadondoka kwa mmoja wapo.
mwambie mwenzako msimamo huo na anza utekelezaji mara moja ysipoteze tena mda kukaa unawaza
 
Situesheni ngumu sn,hapa sasa ni kuangalia nini cha thamani zaidi kwako...
Fanyeni juhudi wote wawili upate walau kazi hata ya kujishkiza huko aliko
Naamini family mnapaswa kuishi wote mambo ya distance basi ziwe zile za safari labda lakini throughout the year mhhhh...
 

usidhubutu kabisa long distance marriage....shetani atakupitia ata wewew pia sio mume tuu. au wewe hupendi mgegedo? hahaha
lah msingi dada hamia mwanza au waogopa wazazi watasema tumekusomesha kwa nini uaacha kazi na kumfuata mwanaume
 
OLEWA ENDELEA NA KAZI,HUKU UKITAFUTA KAZI ALIPO MMEO.Distance marriage mnaishi,mkishindwa si mnapena talaka tu;olewa tu ila kama mnapendana kwa dhati ,distance is nothing at all

wee wacha kumuingiza akili za ujinga mwenzio...sasa unataka awaze talaka ata kabala ya kuingia kwenye ndoa....sii sawa na kumwambia wee endeleea kugegedana tuu na jamaa ndoa ya nini
 
 
Aliye kwambia wenye mimba awagongwi nani? nawanavyokuwaga na hamu.....na kale kajoto kao duuh nowmaaa.
 
Mwanzoni story ilitaka kunigusa nkadhani mama watoto katupia nyuzi uku hehe
 
Kwa mwanamke kitu muhim ndoa kuliko kazi, we uwaoni kina profesa ndalichako, sijui mama tibaijuka, sijui Anne makinda au rose migiro , SAA nyingine wanaona madegree na mavyeo yao si kitu kama hawana Mme full stop, shauri yako utazeekea nyumban
 
OLEWA ENDELEA NA KAZI,HUKU UKITAFUTA KAZI ALIPO MMEO.Distance marriage mnaishi,mkishindwa si mnapena talaka tu;olewa tu ila kama mnapendana kwa dhati ,distance is nothing at all
Wewe kadada au kwa kuwa si wewe, ndoa ya mbali matatizo
 
Distance relationship ni hatari sana asikudanganye mtu sio kwa mwanamke wala mwanaume, mie mwenyewe nilikuwa na msichana niliyempenda sana naye alionyesha kunipenda kwa dhati, nikamaliza masomo nikapata kazi dar yeye akiwa Mwanza and all the time nikiwa dar tulikuwa tunawasiliana na akipata shida nilikuwa najitahidi nimtimizie, lakini ndan ya mwaka akabeba ujauzito wa mwanaume mwingine na akawa ananificha mpaka nilipomkuta nilipoamua kwenda Mwanza na kumkuta akiwa mjamzito, kiliniumiza sana na sijui kama nitaoa tena kwasababu kila nikijaribu kuwa na uhusiano feelings zinatoweka unkwongly. Yaani nakushauri kama utakubali distance marriage itabidi mpange ratiba after two weeks muwe mnaonana. Zamani nilikuwa naamini sana kuwa distance in love make love stronger than before ila vice versa is true
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…