manonawire
JF-Expert Member
- Dec 31, 2017
- 943
- 1,216
naona umeona bora uwachane
Mimi kama mmoja ya wazazi kamati ya CCM Taifa sina huruma kwenye ujinga na kupotezeana mudaa
Watoto wa kike sisi mayai baba mayai kwenye uterus ukishagonga 31 yanaanza kukimbiaaa ohooo!
We cheka kwasababu mwanaume hata miaka 50 unafyatuaa sio mwanaume
SINA HURUMA MZEE BABA... SINAAA
Huwa naingia jamii love connect kweny nyuzi za wadada wanaotafuta waume. Huwa nacheka sana siyo kwa dharau lkn najikuta nacheka kwa vigezo walivyoweka. Kuna mwingine alikuwa anaitwa kihuba vigezo vingi mwisho wa siki anatafuta mume wa kuzaa naye. Duhsawa... sisi tunakula NCHI acha wakagueee mwisho wa siku wanaangukia kwa DOGO JANJAA!... tuongozane basi...
my uje na huku handsome wangu Story: Money Penny ni nani lakini?!
Aha ahaha Biko Biko BikoHuwa naingia jamii love connect kweny nyuzi za wadada wanaotafuta waume. Huwa nacheka sana siyo kwa dharau lkn najikuta nacheka kwa vigezo walivyoweka. Kuna mwingine alikuwa anaitwa kihuba vigezo vingi mwisho wa siki anatafuta mume wa kuzaa naye. Duh
Mtu anafika stage anasema anahitaji mpenzi mweny mapenzi ya dhati ha ha ha, anayejali. Shetani kuna wakati naye hujifanya mtakatifu. Upendo wa dhat hutoka moyoni mwa mtu, na huwezi kumlazimisha mtu awe na mapenzi ya dhati ila unaweza kumfanya au usimfanye mtu awe au asiwe na mapenzi ya dhati.
Ukiona wengi wanasema wanahitaji mtu mwenye upendo wa dhati, wengi wamechezea yaan walipendwa wakauchezea sasa wanakuja kutamalaki kumeshakucha. Utakuta mtu ana miaka 25 lkn anaweka vigezo utafikiri maombi ya kazi, angalau huyu wa 25, mwenye 30 huyo atajikuta ni mzee. Km ulikuwa na miaka 22-28 haujakutana naye mwenye vigezo vyako na unategemea umpate JF ni hatari sana. Ni sawa na kucheza biko au 3 mzuka.
Njoo na huku SWALI: NANI ANAFUATA?!...Hahah!!..
Na hizi mvua...
Bado kuna vichwa maji watapuuza uzi wako
kwa akili hizi,sina uhakika kama magufuli ataweza kutekeleza ilani yake ya uchaguzi
Hahahaaa wanakwambia utakuaje na mwanaume ambae hata mtaani ni aibu kuongozana NAE?. Wakae wasubiri. Ushauri nimeupenda
Ahahaahha asanteKatika siku umenifurahisha basi ni leo money Penny
Madini ya leo ni zaidi ya tanzanite nakwambia
Wanaume wengi wasio mahb ni wanajua kupenda kubembeleza ukilia kidogo ushaitwa mama ushabebwa mgongoni ushapewa kifuta machozi ukimpa paaapa sasa anaisimamia haswaa anaila km akimbie nayo vile
Sasa mamii nikupe zawadi gani?? Leo umenipa raha jamani
Anti wapitwa huku SWALI: NANI ANAFUATA?!...Baambie baambie baelewe
Unatumia mtandao gani??Ahahaahha asante
Nataka vocha ya halotel ya elfu 10 tu
Afu Uje huku mwimba papa analiaa kafungiwaa ni sheedah SWALI: NANI ANAFUATA?!...
Halotel tuuu... asanteUnatumia mtandao gani??
Nimeona halotel kesho naituma sikuwa nimeona best
HahahaUko sawa kabisa mwanaume pesa na mashine uzuri hata mbuzi anao bwanaaa
UkujeeeHahaaaaaaa sasa naona unataka mimi mwenye sura mbovu nipate soko!!.
Asante Money Penny ..nmekumis kuleeee
AsanteUshaur mzuri sana.
Vepe
SanaaMh! Humu kuna mambo!
A ahahaUko sawa kabisa mwanaume pesa na mashine uzuri hata mbuzi anao bwanaaa