Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,921
- 14,820
Samahani kama nitakuwa nimekuudhi au nimekugusa au nimegonga kwenye point
Ila inasikitisha sana kuona Wadada waliovuka miaka 30 bado anatafuta bwana Handsome!
Ivi hivi vitu vya u handsome bado tu vina matter mwa msichana alievuka miaka 30 kweli?
Kwanini-why?
Kivipi-how?
Sawa najua wengi mnatafuta offspring nzuri watoto watoke vizuri and stuff but does it matter?
Mtoto si mtoto tu...
Hivi mpaka umevuka miaka 30 na haujaolewa au ni single mother bado tu unawaza kupata handsome men?
Maisha uliopitiaaaa na maisha ya watu ulioona waliopitiaaa unayoyajuaaa na stori nyingi za money penny ulizosomaa bado tu unataka handsome men?
Napenda kuwasaidia na kuwakatisha tamaa na siwasemi vibaya "Handsome Men" to God be the Glory kwa uumbaji lakini wanaume handsome wanakuwaga VIPUSA balaaa! huku mtaani tunawaita VITOMBI
Na unajua kwanini wanakuwaga na behaviour za namna hii:
1. vitandani wabovu (samahani kusema haya)
2. Kila mwanamke anamtaka so hana shida saana na mwanamke sana sana atakuumiza tu
3. Hela anaipata muda wowote maana anajua majimama ya kulea ipoo inaweza ikaigharimia nyumba... gari... hela
4. Wavivu Bala. .ingawa so wote ila wengi wao Wavivu wananataaa, wasafiiii we acha! Utadhani waliumbaga mtu
Jamani nikiongelea handsome men naongelea wanaume handsome kweli kweli... sio hii misemo ya mashosti kusifiana kwa unafiki na kutiana moyo "oh bwana wako mzuuuri, bwana wako handsome" hapana.. Handsome nayosema mimi ni handsome hapana akipita mpaka mamayako mzazi anageuka..
Kwani hamjifunzi kwa Jacqueline Wolper, keshatua 31 anaona yeyote sawa tu bora machine iwepoo pesa atatafuta KWANI TSH NGAPI?
My dear Ladies kama umeshavuka 30 wewe mwombe Mungu tu upate mwanaume anaekupenda, anaekujali, anaekuthamini wewe na familia yako, atakaeiangalia familia yako na ya wazazi wako, na POCHI baaaas...
Na wanaume wengi ambao sio ma handsome wanakuwaga na MAWE - HELA vibaya mno basi tu hamwelewi
Kama mimi Msukuma wangu sura kama nanilihuu ila POCHI BABABA... MACHINE BABAAA... naenda wapi KISHUMUNDU au?
Kiru
Wadada Mbadilikeee... Saa inagongaaa Nuru za nyuso zenu zinafifia mtaanza kuitwa mabibi kwa kutafuta Handsome Men..
Kwani wanaume wasio handsome sio mwanaumee? tena wanakuwa watamu balaa...
Nikikaaga na mademu nikiskia wanaongelea habari sijui za handsome men sijui bwanangu handsome nanyanyuka nasepaa maana ni ujinga mtupu nawaona hawana akili.... kwa mtu kama mimi niliekalia mitarimbo yote hunitaftishi HANDSOME MEN.. kwanini? ...nimesahau nini? Dyu Dyu zenyewe zimepoooaaa... alafu mnataka nikapange watu jamani naombeni mje kwenye vikao naolewaa? kiru... sio mimi asee
Mwanaume MACHINE... Mzeee Baba bila MACHINE akale akalaleee... Sura hata MBUZI ANAYOOO
Ni hayo tu kwa leo; Mkimaliza mje na huku nimeshashusha Hadithi
Story: Money Penny ni nani lakini?!