Ushauri: Kwenda kusoma Iran

Ushauri: Kwenda kusoma Iran

kaka chige chuo chenyewe ni Tehran university of medical sciences(TUMS)
Anyway, kv sikifahamu chuo chako labda niseme kitu kimoja. Mwaka jana nilifanya utafiti kuhusu credibility and acceptability ya institutions zinazofanya university ranking duniani... moja ya hizo institutions ipo hiyo webometric; nayo inakuwa referenced mara kwa mara. Ingekuwa ni ranking ya 4iuc ningekuambia achana nayo coz' ingawaje wao wenyewe wanasema wazi kwamba ranking yao sio by academic performance, lakini Wabongo ndio ranking tunayopenda kuitumia kv ndio the only ranking inayoweka vyuo vyetu juu!!!! Nilikuja kushituka siku ambayo hata Profesa Mkandara alii-reference ranking yao 4icu... nikajua, siasa at work!

Hata hivyo, ranking zinazoheshimika sana duniani na kuwa hata referenced na watu wenye dunia yao ni Times Higher Education and Shanghai Ranking! Itoshe tu kusema kwamba, kwa kutumia Times Higher Education hakuna chuo chochote cha Tanzania kinachotokea hata among 1000 best universities duniani... HAKUNA! Lakini wakati Tanzania hatuna ubavu wa kuingiza japo chuo kikuu kimoja kwenye list, ranking ambayo ilitoka mwaka jana Iran iliingiza vyuo vikuu 8 among Top 800 Universities duniani! Na kv chuo chako kimetokeza kwenye webometric, basi nacho kitakuwa ni moja ya hivyo vyuo. Hivyo basi, hiyo peke yake unaweza kupata picha ya kiwango cha elimu kati ya Tanzania na Iran... they are very far compared na sisi!!! Unaweza ku-opt kuachana nao kwa sababu zingine lakini sio ubora wa elimu!
 
kaka chige chuo chenyewe ni Tehran university of medical sciences(TUMS)

aiseee hiki ni bonge la chuo na kinashika namba 400 duniani kwani ni moja ya chuo kikubwa irani ingekuwa ni mimi nisingejuiliza mara mbili.
kwa middle east baada ya israel inafuat irani kwenye ishu za elimu hii ni kwa mujibu wa tafiti za Trends in international Mathematics and Science Study (TIMSS).

Tehran university of medical sciences ranks
  • Academic Ranking of World Universities (ARWU/Shanghai Ranking)[10]
    • 2009: International rank : 402-501
  • kwa mimi binafsi nakushauri uende tu kama swala ni elimu
Tehran University of Medical Sciences - Wikipedia, the free encyclopedia
 
aiseee hiki ni bonge la chuo na kinashika namba 400 duniani kwani ni moja ya chuo kikubwa irani ingekuwa ni mimi nisingejuiliza mara mbili.
kwa middle east baada ya israel inafuat irani kwenye ishu za elimu hii ni kwa mujibu wa tafiti za Trends in international Mathematics and Science Study (TIMSS).

Tehran university of medical sciences ranks
  • Academic Ranking of World Universities (ARWU/Shanghai Ranking)[10]
    • 2009: International rank : 402-501
  • kwa mimi binafsi nakushauri uende tu kama swala ni elimu
Tehran University of Medical Sciences - Wikipedia, the free encyclopedia
swala nielimu tu kaka cfati mengne,ish ya usalama ndo ilikuwa inanpa wenge ndomana nikaona niwaulze uenda iran mnaaidia nayo vizur
 
Anyway, kv sikifahamu chuo chako labda niseme kitu kimoja. Mwaka jana nilifanya utafiti kuhusu credibility and acceptability ya institutions zinazofanya university ranking duniani... moja ya hizo institutions ipo hiyo webometric; nayo inakuwa referenced mara kwa mara. Ingekuwa ni ranking ya 4iuc ningekuambia achana nayo coz' ingawaje wao wenyewe wanasema wazi kwamba ranking yao sio by academic performance, lakini Wabongo ndio ranking tunayopenda kuitumia kv ndio the only ranking inayoweka vyuo vyetu juu!!!! Nilikuja kushituka siku ambayo hata Profesa Mkandara alii-reference ranking yao 4icu... nikajua, siasa at work!

Hata hivyo, ranking zinazoheshimika sana duniani na kuwa hata referenced na watu wenye dunia yao ni Times Higher Education and Shanghai Ranking! Itoshe tu kusema kwamba, kwa kutumia Times Higher Education hakuna chuo chochote cha Tanzania kinachotokea hata among 1000 best universities duniani... HAKUNA! Lakini wakati Tanzania hatuna ubavu wa kuingiza japo chuo kikuu kimoja kwenye list, ranking ambayo ilitoka mwaka jana Iran iliingiza vyuo vikuu 8 among Top 800 Universities duniani! Na kv chuo chako kimetokeza kwenye webometric, basi nacho kitakuwa ni moja ya hivyo vyuo. Hivyo basi, hiyo peke yake unaweza kupata picha ya kiwango cha elimu kati ya Tanzania na Iran... they are very far compared na sisi!!! Unaweza ku-opt kuachana nao kwa sababu zingine lakini sio ubora wa elimu!
hata mimi nilishangaa sana profesa mkandara kutumia 4iuc kama kigezo wakati shanghai ranking vyuo vya africa kwenye 1000 unatafuta kwa tochi tena vyuo vyenyewe ni kutoka south africa.
 
so TUMS kiko vizur kaka?
hata mimi nilishangaa sana profesa mkandara kutumia 4iuc kama kigezo wakati shanghai ranking vyuo vya africa kwenye 1000 unatafuta kwa tochi tena vyuo vyenyewe ni kutoka south africa.
 
Mkuu, nenda ukasome huko, Nauwe Balozi wa TZ kwa sifa zakoo nzuri...Tuwakilishe waBONGO!! Be Blessed.
 
Majibu unayoyapata humu ya kukutisha ni sawa na yule jamaa aliyeko Ujerumani aliyeuliza kwenye social media yao kuhusu kwenda Tanzania kutalii, akawa anaambiwa usijaribu katu, kuna ugonjwa wa Ebola ni balaa..maiti zimetapakaa kutoka Dar hadi Arusha barabara nzima ni maiti tu....jamaa akaacha kuja..ndio sawa na hao hapa wanaokuwambia ili uende Iran lazima uwe Muislam and that kind of b/s.
 
Majibu unayoyapata humu ya kukutisha ni sawa na yule jamaa aliyeko Ujerumani aliyeuliza kwenye social media yao kuhusu kwenda Tanzania kutalii, akawa anaambiwa usijaribu katu, kuna ugonjwa wa Ebola ni balaa..maiti zimetapakaa kutoka Dar hadi Arusha barabara nzima ni maiti tu....jamaa akaacha kuja..ndio sawa na hao hapa wanaokuwambia ili uende Iran lazima uwe Muislam and that kind of b/s.
hahaha sawa kaka bravo mikeiyo nmeipenda
 
kaka chige chuo chenyewe ni Tehran university of medical sciences(TUMS)
Wakati data alizoweka thesym zinaonesha ni chuo cha 400 duniani, watukutu Times Higher Education wamekiweka kwenye 600 bora duniani (sio cha 600)... means kinaweza kuwa popote kati ya 500-600! Hawa Times Higher Education wana-complicate sana vitu na zamani walikuwa pamoja tu na hao QS ambao thesym ameweka data zake... walihitilafiana kwenye masuala ya methodology kwahiyo Times wakaamua kutengeneza ranking ya peke yao kv hawakukubaliana na QS! So, either way, kiwe ni among top 400 according to QS or Top 600 according to THE, hicho ni bonge la chuo na Times hivi ndivyo wanavyokielezea:
Tehran University of Medical Sciences (TUMS), founded in 1851 as Dar-ol-Fonoon , is the oldest medical centre in Iran. With a history of more than 160 years, it stands as one of the most prestigious universities of medical sciences in the region. It brings together a community of faculty, students and staff who provide education, conduct research and take the lead in public service initiatives in Iran. It focuses on creating new therapies for a broad array of medical issues related to the community’s health and well-being. TUMS graduates and professional schools express the university’s commitment to research, rigorous standards and innovative application of knowledge. TUMS is accredited by Accreditation Services for International Colleges (ASIC) as a “premier university”. TUMS consists of 12 Schools, more than 80 research centres, 15 scientific pivots, nine educational and health research stations in nine provinces, five technology incubator centres, 16 hospitals with 7,000 active beds and 44 libraries. It offers specialised undergraduate and postgraduate degrees.
 
Wakati data alizoweka thesym zinaonesha ni chuo cha 400 duniani, watukutu Times Higher Education wamekiweka kwenye 600 bora duniani (sio cha 600)... means kinaweza kuwa popote kati ya 500-600! Hawa Times Higher Education wana-complicate sana vitu na zamani walikuwa pamoja tu na hao QS ambao thesym ameweka data zake... walihitilafiana kwenye masuala ya methodology kwahiyo Times wakaamua kutengeneza ranking ya peke yao kv hawakukubaliana na QS! So, either way, kiwe ni among top 400 according to QS or Top 600 according to THE, hicho ni bonge la chuo na Times hivi ndivyo wanavyokielezea:
asante kaka chige apa sasa na data zlzokamilka naweza sema
 
Back
Top Bottom