Maganga Mkweli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2009
- 2,089
- 829
Wengi wenu humu ni wageni na wengi wenu mnaonekana either mpo chuo au ndio mmeingia chuo sasa mimi ni mambo machache nataka kushare na nyinyi ndugu zangu
1. ushindani wa chuo unachosoma
2. upataji wa habari hasa za vyuo
3. umuhimu wa wewe kama msomi na ndani ya jamii ya inayokuzunguka
4. uchaguzi wa kozi unayosoma na wigo wa ajira
5. maisha ya chuo na changamoto zake
ushindani wa chuo unachosoma
nimekuwa nilifuatilia recently maada nyingi ni za majivuno ya chuo unachosoma mara ulinganishaji wa kozi hii chuo hichi na chuo hichi jambo la msingi na la muhimu kwako wewe msomi ni kujitambua kumbuka elimu dhumuni lake kubwa ni kukomboa kifikra na kukusaidia kupambana na changamoto nyingi za maisha ya kila siku na si kushindana kwa minajiri ya kuwa wa kwanza (ingawa hii inakupa motivation ya kusoma) au chuo fulani bora ya kingine so what alaaah ? Jitambue kama msomi wewe
upataji wa habari hasa za vyuo
tatizo jingine ambalo nimeliona ni jinsi ambavyo wanajamii wengi hasa ndani ya hili jukwa wanavyokuwa na watafuta habari za chuo anachosoma kwa wale wa mwaka wa kwanza vyuoni siwezi walaumu sana ila ningependa kuwapa maangalizo yafuatayo chuo ni institute kubwa sana kwa hiyo upatikanaji wake wa habari hasa za ndani masuala ya test ,mikopo ,ada na mambo mengine ya kiutawala huwa yana patikana kwenye notisi board hasa za department husika au college husika kutokana na ukubwa wa chuo pia kwa sasa vyuo vingi vina tovuti zake hivyo basi jitahidini kutumia mitandao kupata habari za vyuo vyenu .missinformation chuo ina madhara mengi sana na hili naomba mlitilie maanani..(watu wengi wadiscontinue sana kwa missinformation)
umuhimu wa wewe kama msomi katika jamii
hili ni jambo la msingi sana naona vijana wengi siku hizi atuelewi kabisa dhima ya elimu jitahidi kustaarabika kimawazo ili tofauti yako na mtu ambaye ajaenda shule ambaye anahitaji msaada wako aweze upata .wewe kama msomi ni chombo muhimu sana kwenye jamii inayokuzunguka hivyo basi jitambue …(FIKRA CHANYA)
uchaguzi wa kozi unayosoma NA wigo wa ajira
hii ndio changamoto kubwa sana hasa kwa wale ambao huwa wako mwaka wa mwisho vyuoni au ndio wamemaliza hili ni tatizo kubwa sana hasa kwa nchi yetu hii yenye wasomi wachache sasa tulio wengi tunaenda kozi fulani ama kwa mkumbo ama kwa kutojua kutokana ufinyu wa habari za kozi husika hili nalo ni tatizo kubwa sana . Hapa natoa rai kwa wasomi wa nyanja zote waweze kuwaelimisha wadogo zetu hasa wale walio masekondari na vyuo vya ufundi kuhusu uchaguzi kozi hasa anapokuja kuomba ushauri jaribu kuwa muwazi mueleze experience yako na hiyo kozi na wigo wake wa ajira kwa ujumla na manufaa yake …haiingii akili unakuta watu 20 wanatoka shule moja eti wote mfano wanataka kusoma sheria,bcom,telecom nk..
maisha ya chuo na changamoto zake
mliopo na mliopita chuo mnajua changamoto zinazoikabili elimu yakitanzania na wasomi wake hapa nafiriki watu wengi wanaweza kuwasilisha michango yENU.............
nawatakia masomo mema ili tuje tukomboe taifa letu ambalo bado sana liko gizani kifkra
tumieni hili jukwa kwa manufaa sio majingambo na tambo zisizo na maana..
jiulize haya maswali ya msingi
mimi kama msomi nafasi yangu katika jamii nini?
Kwanini nasoma hii kozi ?
Hosea 4: 6 (KJV) My people perish from a lack of knowledge.
Nawasilisha
1. ushindani wa chuo unachosoma
2. upataji wa habari hasa za vyuo
3. umuhimu wa wewe kama msomi na ndani ya jamii ya inayokuzunguka
4. uchaguzi wa kozi unayosoma na wigo wa ajira
5. maisha ya chuo na changamoto zake
ushindani wa chuo unachosoma
nimekuwa nilifuatilia recently maada nyingi ni za majivuno ya chuo unachosoma mara ulinganishaji wa kozi hii chuo hichi na chuo hichi jambo la msingi na la muhimu kwako wewe msomi ni kujitambua kumbuka elimu dhumuni lake kubwa ni kukomboa kifikra na kukusaidia kupambana na changamoto nyingi za maisha ya kila siku na si kushindana kwa minajiri ya kuwa wa kwanza (ingawa hii inakupa motivation ya kusoma) au chuo fulani bora ya kingine so what alaaah ? Jitambue kama msomi wewe
upataji wa habari hasa za vyuo
tatizo jingine ambalo nimeliona ni jinsi ambavyo wanajamii wengi hasa ndani ya hili jukwa wanavyokuwa na watafuta habari za chuo anachosoma kwa wale wa mwaka wa kwanza vyuoni siwezi walaumu sana ila ningependa kuwapa maangalizo yafuatayo chuo ni institute kubwa sana kwa hiyo upatikanaji wake wa habari hasa za ndani masuala ya test ,mikopo ,ada na mambo mengine ya kiutawala huwa yana patikana kwenye notisi board hasa za department husika au college husika kutokana na ukubwa wa chuo pia kwa sasa vyuo vingi vina tovuti zake hivyo basi jitahidini kutumia mitandao kupata habari za vyuo vyenu .missinformation chuo ina madhara mengi sana na hili naomba mlitilie maanani..(watu wengi wadiscontinue sana kwa missinformation)
umuhimu wa wewe kama msomi katika jamii
hili ni jambo la msingi sana naona vijana wengi siku hizi atuelewi kabisa dhima ya elimu jitahidi kustaarabika kimawazo ili tofauti yako na mtu ambaye ajaenda shule ambaye anahitaji msaada wako aweze upata .wewe kama msomi ni chombo muhimu sana kwenye jamii inayokuzunguka hivyo basi jitambue …(FIKRA CHANYA)
uchaguzi wa kozi unayosoma NA wigo wa ajira
hii ndio changamoto kubwa sana hasa kwa wale ambao huwa wako mwaka wa mwisho vyuoni au ndio wamemaliza hili ni tatizo kubwa sana hasa kwa nchi yetu hii yenye wasomi wachache sasa tulio wengi tunaenda kozi fulani ama kwa mkumbo ama kwa kutojua kutokana ufinyu wa habari za kozi husika hili nalo ni tatizo kubwa sana . Hapa natoa rai kwa wasomi wa nyanja zote waweze kuwaelimisha wadogo zetu hasa wale walio masekondari na vyuo vya ufundi kuhusu uchaguzi kozi hasa anapokuja kuomba ushauri jaribu kuwa muwazi mueleze experience yako na hiyo kozi na wigo wake wa ajira kwa ujumla na manufaa yake …haiingii akili unakuta watu 20 wanatoka shule moja eti wote mfano wanataka kusoma sheria,bcom,telecom nk..
maisha ya chuo na changamoto zake
mliopo na mliopita chuo mnajua changamoto zinazoikabili elimu yakitanzania na wasomi wake hapa nafiriki watu wengi wanaweza kuwasilisha michango yENU.............
nawatakia masomo mema ili tuje tukomboe taifa letu ambalo bado sana liko gizani kifkra
tumieni hili jukwa kwa manufaa sio majingambo na tambo zisizo na maana..
jiulize haya maswali ya msingi
mimi kama msomi nafasi yangu katika jamii nini?
Kwanini nasoma hii kozi ?
Hosea 4: 6 (KJV) My people perish from a lack of knowledge.
Nawasilisha