Ushauri kwa wanawake wenzangu wa JF

Ushauri kwa wanawake wenzangu wa JF

Wengine wapo ili kupata umaalufu tu,kiukweli ukifwatilia kila kinachoandikwa humu alafu ukakiweka akilini utapotea sana tu.
Yah na km mtu ana roho nyepesi bas humu aingie kwa week mara moja otherwise unaweza chukua akili za baadhi ya vichaa humu km ndo ushaur wa kufuata kwenye maisha yko
 
Asante Sana kwa ushauri. Kiukweli Hata Mimi nachukizwa Sana na tabia hizi za kuanzisha nyuzi zenye kukashifu wanwake,wakati bila sisi hawajiiti wanaume,na kwa msingi mwingine wa kumkashifu na kumdharau mwanamke Ndio msingi huo Huo ambao unawafanya na wao wadharauliane pale tu wanapojua wanaume wenzao hushikishwa ukuta.
So,tuwapuuzie wakati tukijua wanaponda lakini wanakubali Sana uwepo wetu.
In life the weaker are oppressing the stronger, kama stronger akiwa hajitambui!
 
Yah na km mtu ana roho nyepesi bas humu aingie kwa week mara moja otherwise unaweza chukua akili za baadhi ya vichaa humu km ndo ushaur wa kufuata kwenye maisha yko
Hahahaha
 
Ni kweli ila zilizo nyingi ni stories za vijiweni tu!
Sasa mtaumia mangapi?
Sawa nakunaliana na suluhisho lenu kutofungua thread zinazowadhalilisha!
Labda hao wanaoanzisha wataacha wakiona hakuna wachangiaji


Hatuumii Ngushi, ni jambo la kusikitisha kuona wengi wenu mnafurahia hili jambo. Kuwa vidume wetu wengi wana enjoy kuponda wanawake.
Tutachekesha kama nchi ndo hivi.
 
Huu ni ulimwengu wa nadharia(virtual world), watu wataongea tu coz we're interacting virtually, hata huko mbelez kama ni kudhalilishwa basi watu wanadhalilishwa sana.

Wanaume wasiposema (hata kwa kudhalilisha tu), wanawake watajifunza wapi, vice versa pia, hatuwezi kujifunza kama hatukosoani.

Kukosoa kunakuja kwa aina tofauti. Wengine watakutusi, kukebehi na kudhalilisha..you just take what's right.

My two cents!!
 
Na mtoa mada hana...ingawa anasema haimuumi ila kitendo cha kupoteza mda kuandika uzi huu ni wazi kuna namna inamuuma
Ohh jamani! Ni kuwa dharau hao wanaume wa design hiyo na ku move on!
 
Huu ni ulimwengu wa nadharia(virtual world), watu wataongea tu coz we're interacting virtually, hata huko mbelez kama ni kudhalilishwa basi watu wanadhalilishwa sana.

Wanaume wasiposema (hata kwa kudhalilisha tu), wanawake watajifunza wapi, vice versa pia, hatuwezi kujifunza kama hatukosoani.

Kukosoa kunakuja kwa aina tofauti. Wengine watakutusi, kukebehi na kudhalilisha..you just take what's right.

My two cents!!
Ok
 
Na mtoa mada hana...ingawa anasema haimuumi ila kitendo cha kupoteza mda kuandika uzi huu ni wazi kuna namna inamuuma
Kama mie yaniuma basi bila shaka hata wewe yakuuma shogangu maana nimewaandikia nyie Mwali wangu
 
Back
Top Bottom