Ushauri kwa wanandoa

Ushauri kwa wanandoa

Ndoa sio jeanamu bali ni sehemu ya kufurahia maisha ya wapenzi mambo yakipigana ya kwenu
 
Wee mi na mi nguvu balaa hafu mi siwezi kuwa na mwanaume asijielewa nikishamsoma saikolojia yake na mambo yake ka haeleweki namkimbia, sasa had huko kudundana hakunikuti hata kwa dawa
Kumbe bado hujaolewa ndio maana unasema hivyo wenzako walioko kwenye ndoa wanalilia kupigwa.
 
Back
Top Bottom