Ushauri kwa wanandoa

Ushauri kwa wanandoa

Sina la kusema maana Upendo na ndoa vina siri kubwa. Mbarikiwe wadau.
 
10d0fdac5e1db61fa3e5be86044d3041.jpg
Uwiiiiieee
 
Alafu inaonekana kipigo huwa kinasaidia kweli kweli.
 
Umesahau kuongeza neno tuwapige bara'bara..
 
Yaani umpige Mke wako uliyemtolea mahari mara moja tu kwa mwezi?

Are you serious?

Utaachaje kumweka mkeo ngeu kila wiki?

Wewe ni mwanaume wa dar bila shaka.

Kure kwetu Taarime usipompiga mwanamke vizuri anaenda kukushitaki ukweni Mura.

Jitahidi saana kumpigha mama.

Vita ni Vita Mura.
Haya mambo ni nani huwa anawadanganya?Kutoa kipigo ni tabia ya mtu na gubu lake.Akikushinda ni vema muachane.Kama ni kipigo kingine huku mnatabasamu ni sawa.
 
Akikuzingua mtafutie demu mkali kuliko yy..lazima atulize mshono... kupiga it's an old school smart people don't do that!
Kuna namna nyingi za upigaji. Ila kuwa na mahusiano mengi ni kujiumiza wew na roho yako. Vifungo vya roho hivo.
 
Back
Top Bottom