Ushauri kwa wanachama wa TLS

Ushauri kwa wanachama wa TLS

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
8,831
Reaction score
13,442
Nawashauri watokee wanachama wa TLS wajitokeze hadharani kumkosoa Rais WA TLS wa sasa ili tuone nini kitatokea.

Naandika hivyo kwa sababu yeye mkosoaji mkubwa wa viongozi wa chadema waliopo madarakani dhidi ya kundi la Lissu.

Hii itatupa tumpime uwezo wake ktk masuala ya uongozi
 
Nawashauri watokee wanachama wa TLS wajitokeze hadharani kumkosoa Rais WA TLS wa sasa ili tuone nini kitatokea.

Naandika hivyo kwa sababu yeye mkosoaji mkubwa wa viongozi wa chadema waliopo madarakani dhidi ya kundi la Lissu.

Hii itatupa tumpime uwezo wake ktk masuala ya uongozi
Anaweza kujiua anapenda sifa sana.
 
Mtu anaposhauri au kukosoa, haimaanishi yeye ni malaika, tujifunze kupokea/kukataa ushauri kwa njia iliyo chanya, siyo kwa kumshambulia mtoa ushauri au mkosoaji.
 
Back
Top Bottom