Jonatus
JF-Expert Member
- Dec 16, 2013
- 1,403
- 374
sio siri historia yako ina sikitisha ... kasome´e uchungaji tu ndo lengo la MWENYEZI MUNGU , udaktari muachie ulimbokaWakuu na mimi nina E E F ya PCB lakini nina A ya Divinity, vipi nitaweza kupata nafasi ya kusoma MD hapo UDOM?
Laki mbili na themamini hivi hiyo ni direct cost
Then kuna tuition fees kwa kila course yako
ok thanks brother
hahahahahahahahahahahahahai :hail::hail:apo lazima tule bureeeee.................. shemu mchepuko mpishi:hail::hail::hail::hail::A S 11::A S 11::A S 11:
tarehe 18 october . jipange
:flame:
humanities kuna swimming pool na gym nzuri sana
acha tu tupendelewe bwana we unafkiri kusomea sheria kitu cha mzaha ?? uliza uambiwe sheria sio social science...we unawaza starehe za chuo?? sijui kama hata ukifika pale utapata hata muda wa kwenda kwa wajas:spit:Daah Humanities wanapendelewa aisee mbona everything good kipo kwao
unamuuliza nani sasa
writing errors mbona mbona haushangai udom wanaopata zero kwenye mitihan yao, unashangaa kuandika, shenzi ww
vp malipo unayafanya kwa kutumia account namba moja!!
acha tu tupendelewe bwana we unafkiri kusomea sheria kitu cha mzaha ?? uliza uambiwe sheria sio social science...we unawaza starehe za chuo?? sijui kama hata ukifika pale utapata hata muda wa kwenda kwa wajas:spit:
HATIMAYE NIMEMALIZA KUSOMA PAGE ZOTE ZA MJADALA HUU MREFU ..... kwanzia saa moja usiku mpaka saa kumi nasoma tu ... Mimi nipo 2015 ( llb ) law kwa tutakao onana inshaalah . Natumaini mjadala huu ni wa baraka mno kwa kijana au binti yeyote anayetegemea kujiunga na chuo kikuu cha Dodoma .
Mimi kama mwanafunzi mtarajiwa wa sheria nimeshasikia vikwazo vingi mno na kusoma vingine kibao mtandaoni ,ila najua mategemeo yangu ni nini baada ya miaka mitatu. kwaio ushauri wangu kwa yeyote anaetaka kujiunga na udom .SIKILIZA USHAURI WA MTU ,ILA HUO USHAURI USIKUYUMBISHE IMANI YAKO , BE SOLID ALWAYS IF YOU KNOW YOU HAVE THE BEST CHOICE . then STICK TO IT AND BE CONFIDENT ... umesoma vitu kibao mpaka sasa JIKUBALI , chuo kikuu kisikufanye ukate tamaa au ujisahau .... haya maisha tu na hautakuwa udom maisha yako yote ... kwa kama sisi ni miaka mitatu tu ya udom // so get along and spend your time happily studying ...ukimaliza ,- UDOM ITABAKI HISTORIA TU KWAKO... ULIPOTOKA NI MBALI KULIKO UNAPOTARAJI KWENDA ,kama unafikiri elimu ni maji ya shingo , jaribu ujinga . ALL THE BEST udom 2015
Wame zi identity ya NMB na Crdb
Ni wewe sasa kuchagua wapi u deposit
Wamezi identity ........! Wamezi identify?