Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

kwahiyo na kazi ulikosa, na ikitokea iterview nyingine jiandae kukosa kazi. Af ujiulize kwanini amerika inaitwa THE UNITED STATES OF AMERICA na kwanii nchi kama tz haiitwi hivyo. MAKOLE ukipata hilo kafanye interview nyingine utapata kazi

Nilipata, umeridhika?
 
ndugu zangu vip collage ya natural science mpo kimya ..i have a lot of questions to ask... please
 
muulize kuwa yupo programu ipi? na SIYO COURSE ipi.....mfano ndani ya program ya BA-ED zipo kozi nyiiiingii
hahaha poa poa nikajua ndo kiswaz chake icho... kumbe ni program
 
jamani isomeni vizuri hii post kwa umakini mkubwa hasa kwa wale waliochaguliwa UDOM mimi ilinisaidia sana na nilifika ktk college amb
ayo nilitakiwa kwenda kwa maelekezo niliyoyapata ktk hii nyuzi.HONGERA SANA MAKAKOLE KWA KUTOA HIYO POST...........................!!!!!!!
 
Naomba msaada kwa anae ielewa "Bachelor of education in Commerce" hapo Dom na vip kuhusu boom huwa wanatoa
 
Wadau nimepata tetesi humu jf kuwa kuna vyuo majina ya mkopo tayari,kama udom yakitoka wale wajuzi wa IT tafadhali yawekeni humu,simu yangu ya kichina siwezi kufungua pdf wala excel! tafadhali.
 
Wadau nimepata tetesi humu jf kuwa kuna vyuo majina ya mkopo tayari,kama udom yakitoka wale wajuzi wa IT tafadhali yawekeni humu,simu yangu ya kichina siwezi kufungua pdf wala excel! tafadhali.

nenda cafe mkuu
 
Jamani udom wana batch ngapi coz naona cku zinaenda.na batch nyingine cioni na wengi wanalalamika on that jamani udom
 
MAKOLE,embu nijuze room udom wanakaa watu wangapi? alafu kuna locker za design gani coz kuna w2 boom watakula na videm,kunywa bia kupita kiasi wakiishiwa wanataka kugongea hadi soap!,unyunyuz na wese,chuo si sekondari! mkuu nijuze,alafu mtu akiishiwa huwa hapo mambo ya maji ya kunywa niaje?
 
Back
Top Bottom