Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

Eti guys hii course ya "Education with Arts" ipo college of social science? au kwenye hiyo selection wameichanganya tu kwa bahati mbaya badala ya kuiweka college of Education? ?
Kuna mtu kapangiwa huko ndo anauliza

Kipnd cha nyumba ilikuwa education lakn kuanzia 2012 iliamishiwa college of social sciences and humanities.
 
Eti guys hii course ya "Education with Arts" ipo college of social science? au kwenye hiyo selection wameichanganya tu kwa bahati mbaya badala ya kuiweka college of Education? ?
Kuna mtu kapangiwa huko ndo anauliza

Haipo UDOM hiyo course, ila ipo program inayoitwa BA-ED(Bachelor of arts with education) ndani yake ndio kuna course mbalimbali....zamani ilikuwa inatolewa COED, lakini siku hizi iko Humanities and social science.
 
Guys, hongereni kwa mjadala mzuri wenye maelekezo muhimu na Hongereni pia kwa kuingia kwenye Historia UDOM, Napenda kutoa angalizo tu kwamba mjadala huu ni wa muda mrefu tokea 2012 ila yapo baadhi ya mambo/ushauri ambao ni endelevu kwa maana ya kwamba utakusaidia. Mambo mengine yamepitwa na muda kutokana na uzoefu wa mtoa post kwa wakati huo na nawashauri muendelee kuuliza ili wenzetu waliopo huko kwa sasa watupe taarifa sahihi kwa mujibu wa wakati huu. Unaweza kwende kugombana na Makonda wa daladala wakati nauli ilibadilika....unaweza kwenda kwa Wajasi kumbe cafe za chuo wamebadili huduma zao.....sasa tuwe makini na uzi huu! Thanks na masomo mema "White University" (Hii ndio rangi yake)

Naomba niulize swali la Kipimajoto:::

Katika Tanzania hii, ni chuo Kikuu kimoja tu ambacho kinaanza na article "THE" unapokitaja. nacho ni THE UNIVERSITY OF DODOMA...unafikiri ni kwa nini????
 
Naomba niulize swali la Kipimajoto:::

Katika Tanzania hii, ni chuo Kikuu kimoja tu ambacho kinaanza na article "THE" unapokitaja. nacho ni THE UNIVERSITY OF DODOMA...unafikiri ni kwa nini????

The maana yake nini kwanza
 
Jamani ninatafuta kiwanja cha kujenga makazi, nina Tsh. 15 milion. Kiwanja kisipungue ukibwa wa sqm 1000. Kiwe kati ya maeneo yafuatayo. Kimara, pugu, mbweni jkt, salasala, wazo hill, goba, kigamboni, toangoma, kibada, kimara na maeneo mengine mazuri ambapo watu wameshaanza kujenga. Kiwe kina hati miliki na kimepimwa. Kama unacho nijurishe email yangu ni woowtv@live.co.uk. Asanteni sana.
 
Naomba niulize swali la Kipimajoto:::

Katika Tanzania hii, ni chuo Kikuu kimoja tu ambacho kinaanza na article "THE" unapokitaja. nacho ni THE UNIVERSITY OF DODOMA...unafikiri ni kwa nini????
mmhhh mkuu naomba ututajie ni kwann
 
CHUO kinafunguliwa tarehe 18 /10/2014. vilevile bodi ya mkopo wameongeza wiki 2 kwa wale waliochaguliwa
diploma in education kuomba mkopo kwa ambao hawakuomba.

yaah nimeipata hiyo
 
ilikuwa moja ya swali la interview ya kazi pale UDOM, sijapata jibu hadi leo

kwahiyo na kazi ulikosa, na ikitokea iterview nyingine jiandae kukosa kazi. Af ujiulize kwanini amerika inaitwa THE UNITED STATES OF AMERICA na kwanii nchi kama tz haiitwi hivyo. MAKOLE ukipata hilo kafanye interview nyingine utapata kazi
 
Last edited by a moderator:
Guys, hongereni kwa mjadala mzuri wenye maelekezo muhimu na Hongereni pia kwa kuingia kwenye Historia UDOM, Napenda kutoa angalizo tu kwamba mjadala huu ni wa muda mrefu tokea 2012 ila yapo baadhi ya mambo/ushauri ambao ni endelevu kwa maana ya kwamba utakusaidia. Mambo mengine yamepitwa na muda kutokana na uzoefu wa mtoa post kwa wakati huo na nawashauri muendelee kuuliza ili wenzetu waliopo huko kwa sasa watupe taarifa sahihi kwa mujibu wa wakati huu. Unaweza kwende kugombana na Makonda wa daladala wakati nauli ilibadilika....unaweza kwenda kwa Wajasi kumbe cafe za chuo wamebadili huduma zao.....sasa tuwe makini na uzi huu! Thanks na masomo mema "White University" (Hii ndio rangi yake)

Naomba niulize swali la Kipimajoto:::

Katika Tanzania hii, ni chuo Kikuu kimoja tu ambacho kinaanza na article "THE" unapokitaja. nacho ni THE UNIVERSITY OF DODOMA...unafikiri ni kwa nini????


"The" is to show respect of something Great
Greatness of something respected

So UDOM has such article as it is great in the following aspects

Great learning facilities
Great lectures
Located in a Great Region

Therefore It desire to start with "The"
 
kwa wale wanaosoma collage ya natural science mbna cwasikii jamani.. nina maswali meng ya kuuliza please
 
ilikuwa moja ya swali la interview ya kazi pale UDOM, sijapata jibu hadi leo
nadhani jibu nimepata kutoka kwa memba mmoja wa english ..... amenifafanulia article THE inavyo tumiwa....

chek kuna uzi msaada kwa wataalam wa gramma

kuna mkuuamejaribu kuelezea may kaucheki nawewe
 
Back
Top Bottom