Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

Jamani hili ni vema pia tukalijua je makanisa na misikiti haviko mbali na chuo kuna wengine bila ya kwenda huko maisha hayatawezekana.
 
Asante sana Makole kwa infos, ila vipi suala la internet kwa huko inakuaje? na kama mtu una modem yako, speed ni ya GPRS, 3G au HSDPA?
 
Asante sana Makole kwa infos, ila vipi suala la internet kwa huko inakuaje? na kama mtu una modem yako, speed ni ya GPRS, 3G au HSDPA?

Pia nasikia wameblock Facebook (Ha ha ha haaaa hiyo kwangu hainashida)
 
Asante sana Makole kwa infos, ila vipi suala la internet kwa huko inakuaje? na kama mtu una modem yako, speed ni ya GPRS, 3G au HSDPA?

kaa una moderm yako utatumia 3g,pia maeneo mengi yana wireless. full kujiachia
 
Jamani hili ni vema pia tukalijua je makanisa na misikiti haviko mbali na chuo kuna wengine bila ya kwenda huko maisha hayatawezekana.

Yapo makanisa na misikiti. but kwa kuwa bado hayajajengwa rasmi, kuna majengo yanatumika kwa ajili hiyo. Lakini College ya social science upo msikiti rasmi, sijajua kanisa
 
Yaani waungwana mmecover kila kitu tunashukuru sana ns mungu awajalie mfanikiwe maishani!!

Vipi wanaruhusu kufika chuo 1week kabla ya registration kuanza??

Unaweza kufika mapema ila unaweza kukuta mambo magumu wakakwambia hawajakaa tayari kwa usajili. Hii ni kwa sababu wanao utaratibu wao maalum wa kusajili. Mara nyingi kwa mwaka wa kwanza huwa wanajipanga wanaosajili wote eneo moja kwa ajili ya kazi hiyo tu.
 
vp hosteli kuna madarasa ya kusomea, au inakuwaje mwana

Ndani ya hostel ipo sehem inaitwa Common rum, hapo sansana na zile discussion tu, vyumba ni vikubwa sana ambapo unaweza kujisomea, Baadhi ya college kama education zipo taa za mezani hivyo waweza piga msuli kadri unavyotaka. Mara nyingi kusomea hata hivyo ni madarasani, ingawa kwa college nyingi madarasa na hostel viko mbali kidogo. But sehemu nyingine za kusomea ni Cafteria, au library.
 
Ndani ya hostel ipo sehem inaitwa Common rum, hapo sansana na zile discussion tu, vyumba ni vikubwa sana ambapo unaweza kujisomea, Baadhi ya college kama education zipo taa za mezani hivyo waweza piga msuli kadri unavyotaka. Mara nyingi kusomea hata hivyo ni madarasani, ingawa kwa college nyingi madarasa na hostel viko mbali kidogo. But sehemu nyingine za kusomea ni Cafteria, au library.

chumba ni watu wanne sasa vitanda vyao ni vile vya juu na chini au ni magodoro tu?
 
Yapo makanisa na misikiti. but kwa kuwa bado hayajajengwa rasmi, kuna majengo yanatumika kwa ajili hiyo. Lakini College ya social science upo msikiti rasmi, sijajua kanisa

that gud, na je inakuwaje kuhusu vishawish kwa mabinti au na huku mambo magumu kama UDSM. Kama ndo ivo Mungu atunusuru na imani zetu
 
Inahitaji kuwa jasiri kuushinda moyo mahali popote ndugu. Hata udom ni hivo2
 
that gud, na je inakuwaje kuhusu vishawish kwa mabinti au na huku mambo magumu kama UDSM. Kama ndo ivo Mungu atunusuru na imani zetu

inahitaji kuushinda moyo popote pale. Hata udom ni hivyohivyo, jali kilichokupeleka na utakuwa salama
 
Na tuliochaguliwa statistics utaratibu upoje toka ctend hadi chuo esp cku ya 1

Utaishi COED kama sijakosea, hawa huwa wako college of natural science ambayo college yao ilikuwa haijakamilika.sina hakika sana na jibu hili kwani wanaweza kubadilishiwa location, mwenye taarifa zaidi atatujuza humu.
 
hili swali halija ulizwa`vipi kuhusu library iko poa?,and kila college ina library yake or ipo moja 2 chuo kizima? 2saidieni kwa hili

Kila college ina library yake, ingawa mpaka sasacollege ya social ndio iko fresh kwa vitabu. Uzuri ni kwamba, mwanachuo uko huru kusafiri na kuingia college yoyote ile bila ya kujali unasoma nini na wapi, bora tu uwe na kitambulisho cha chuo. Kwa mwaka wa 1 kama hujapata id itakulazimu kutembea na reg. form yako ili kupata huduma ya library. Mfano, jengo lote hili hapa ni library ya coed peke yake: nb, vitabu bado ni changamoto hapa COED ila kwa social na humanitieswako vizuri.

picha ya lib. ya coed
View attachment 62821
 
daaaah..pole sanah kaka!! mungu atakubariki utapata kazi ya ulinzi sehemu nyingine!

Thanks ndugu, hata hivyo Mungu alishusha neema zake wiki ile ile nikapata kibarua kingine na sasa niko pande za Horn of Africa nalinda mageti.
 
that gud, na je inakuwaje kuhusu vishawish kwa mabinti au na huku mambo magumu kama UDSM. Kama ndo ivo Mungu atunusuru na imani zetu

King postyako imenikumbusha mbali sana, Ushawahi kuishi ndani ya rum ya wanamume 4 na jinsia KE ndani ya semista nzima? Au wanawake 4na Me 1 hata wiki moja tu? Eeeh Mungu tunakuomba uwasamehe waja wako kwani hawajui wayatendayo= nahisi hii ndio itakuwa kauli mbiu yako utakapoyakuta!
 
Back
Top Bottom