Makole kuna wale ambao bila kubeba mabegi makubwa tena zaidi ya moja hajaona kama ameenda chuo vile
Maji yapo UDOM sio shida kwa sasa. College ya Informatics sifahamu kuhusu academics lakini wanavyovichwa vya kutosha. Manta hofu, pakulala papo kama kawa, usiumize kichwa kuhusu Usingizi.
hoya mkuu inamaana college ya medicine bado haijakamilika mpaka mida hii au nivip, kwa nini wanakaa coed
hoya mkuu inamaana college ya medicine bado haijakamilika mpaka mida hii au nivip, kwa nini wanakaa coed
Asante mkuu, nilikuwa hata cjui km college yangu ni informatics, iv informatics ina jumuisha wa2 wa coz zipi?
Duh! Afadhali bwana umewaambia mimi ni mjasiliamali hapa maeneo ya jamatin!
labda kwa upande wangu sina kipya ila naomba Niongezee hapo kwenye ukibaka(wapga ndole) nikianza na wadada na mikoba yao ile mikubwa(hand bag) utakuta wadada wamesmama wanasubir coster anakuja kushtuka hana wallet kwa ndan au wallt ipo lkn tupu cha ajabu sjui wanatumia dawa hii nimeshudia mara 2 au 3 hivi dada analia wallet lkn tupu na imesachiwa ndan kwa ndani sasa hapo wamesmama skilizia kwenye kusukumana kwaajili ya kupanda hakuna 3rd wala 2nd year ambao haendi na move hapo kalia sasa hawa new 1st ndo mamaaaaa!
Sasa ukija kwa hawa masela wenzangu mtu anaamin kila mtu ni mwanachuo kaweka wallet,simu nk mfukoni hapa hamna 3rd wala (new entry) 1st year mchezo ule ule kama sehemu nyingne mnasukumana jitu linazuga linaingia huku linajbana na ku-push huku na vidole viko kazn na limependeza ka janafunzi vile! Sasa hapa u 1st na u 3rd utaonekana na protection ya mali zako! Tu! Otherwise!
Na ukimkamata mwizi wako na kidhibiti wewe na kampan yako muwe comfotable maana na wao wanakampani kubwa watkuzongazonga utasikia mwachie! Mwachie! Mara utaona hayupo!!
Na Makole utakubaliana na mimi kuwa wakishaiba wallet kituo chao ni kule shell kwa nyuma ndo dampo la IDs na kule public toilet
utasikia wamama wanaofagia "jamani watakaokuwa wantafuta vtambulisho vyao vko kwa fulan"
na niangalizo kwa woote!
Yap, hawa jamaa walijenga hostel mbili tu, za KE na ME. kwa sasa hazitoshi hivyo wanakaa mwaka wa kwanza tu. Ama kwa mwaka wa pili, wa 3 na wanne wanakaa COED, si mbali sana ila pana umbali. Huwa wanachukuliwa Asubuhi na mabasi ya chuo wanapelekwa huko. Pia kuna njia ya mkato kuelekea huko. Kwa daladala huwa zinafika ila si kwa wingi kwa sababu wale jamaa hawana movement nyingi. Wako bize sana.
asante mkuu, vp kuhusu tution fees ni lazima uilipe yote kwa wakati mmoja au unailipa kwa semester, vp kuhusu mafunzo kwa vitendo hawa wa2 wanafanyia wapi coz nasikia pande hzo hakuna hospital, ebu nisaidie kwa hli
CoES wote wanakaa hostel za CoED au ni mwaka wa kwanza tu na je kuna umbali gani kutoka CoES hadi CoED
CoES wote wanakaa hostel za CoED au ni mwaka wa kwanza tu na je kuna umbali gani kutoka CoES hadi CoED
Na wale walochaguliwa computer engeneering wanapanda daladala za kwenda kitivo gani wapi?na vipi kuhusu kuhusu mavazi NAOMBA UNIFUMBUE MKUU
hostel mnatenganishwaje kutokana na sex wanawatenganisha kwa majengo tofauti au jengo moja floors tofauti.