Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

Makole kuna wale ambao bila kubeba mabegi makubwa tena zaidi ya moja hajaona kama ameenda chuo vile

Dah, Wings watu hao wapo, ila kwa kule kwenda na mabegi mawili ni issue, kwa MTITI ule yatakiwa unayo rasket na raba simple sana. Hakuna haja hata ya mabuti yenye chuma mbele.
 
Maji yapo UDOM sio shida kwa sasa. College ya Informatics sifahamu kuhusu academics lakini wanavyovichwa vya kutosha. Manta hofu, pakulala papo kama kawa, usiumize kichwa kuhusu Usingizi.

hoya mkuu inamaana college ya medicine bado haijakamilika mpaka mida hii au nivip, kwa nini wanakaa coed
 
hoya mkuu inamaana college ya medicine bado haijakamilika mpaka mida hii au nivip, kwa nini wanakaa coed

Yap, hawa jamaa walijenga hostel mbili tu, za KE na ME. kwa sasa hazitoshi hivyo wanakaa mwaka wa kwanza tu. Ama kwa mwaka wa pili, wa 3 na wanne wanakaa COED, si mbali sana ila pana umbali. Huwa wanachukuliwa Asubuhi na mabasi ya chuo wanapelekwa huko. Pia kuna njia ya mkato kuelekea huko. Kwa daladala huwa zinafika ila si kwa wingi kwa sababu wale jamaa hawana movement nyingi. Wako bize sana.
 
Asante mkuu, nilikuwa hata cjui km college yangu ni informatics, iv informatics ina jumuisha wa2 wa coz zipi?

Ukiondoa BED ICT ambao nao wanamasomo wanaopt hapo Informatics (nadhani hivyo ingawa sina hakika sana) Kozi nyingine zote zinazohusisha Komputa na Information tech. ziko chini ya college hii ya Informatics.
 
Duh! Afadhali bwana umewaambia mimi ni mjasiliamali hapa maeneo ya jamatin!
labda kwa upande wangu sina kipya ila naomba Niongezee hapo kwenye ukibaka(wapga ndole) nikianza na wadada na mikoba yao ile mikubwa(hand bag) utakuta wadada wamesmama wanasubir coster anakuja kushtuka hana wallet kwa ndan au wallt ipo lkn tupu cha ajabu sjui wanatumia dawa hii nimeshudia mara 2 au 3 hivi dada analia wallet lkn tupu na imesachiwa ndan kwa ndani sasa hapo wamesmama skilizia kwenye kusukumana kwaajili ya kupanda hakuna 3rd wala 2nd year ambao haendi na move hapo kalia sasa hawa new 1st ndo mamaaaaa!

Sasa ukija kwa hawa masela wenzangu mtu anaamin kila mtu ni mwanachuo kaweka wallet,simu nk mfukoni hapa hamna 3rd wala (new entry) 1st year mchezo ule ule kama sehemu nyingne mnasukumana jitu linazuga linaingia huku linajbana na ku-push huku na vidole viko kazn na limependeza ka janafunzi vile! Sasa hapa u 1st na u 3rd utaonekana na protection ya mali zako! Tu! Otherwise!
Na ukimkamata mwizi wako na kidhibiti wewe na kampan yako muwe comfotable maana na wao wanakampani kubwa watkuzongazonga utasikia mwachie! Mwachie! Mara utaona hayupo!!
Na Makole utakubaliana na mimi kuwa wakishaiba wallet kituo chao ni kule shell kwa nyuma ndo dampo la IDs na kule public toilet
utasikia wamama wanaofagia "jamani watakaokuwa wantafuta vtambulisho vyao vko kwa fulan"

na niangalizo kwa woote!

Asante sana God kwa msaada
 
Yap, hawa jamaa walijenga hostel mbili tu, za KE na ME. kwa sasa hazitoshi hivyo wanakaa mwaka wa kwanza tu. Ama kwa mwaka wa pili, wa 3 na wanne wanakaa COED, si mbali sana ila pana umbali. Huwa wanachukuliwa Asubuhi na mabasi ya chuo wanapelekwa huko. Pia kuna njia ya mkato kuelekea huko. Kwa daladala huwa zinafika ila si kwa wingi kwa sababu wale jamaa hawana movement nyingi. Wako bize sana.

asante mkuu, vp kuhusu tution fees ni lazima uilipe yote kwa wakati mmoja au unailipa kwa semester, vp kuhusu mafunzo kwa vitendo hawa wa2 wanafanyia wapi coz nasikia pande hzo hakuna hospital, ebu nisaidie kwa hli
 
asante mkuu, vp kuhusu tution fees ni lazima uilipe yote kwa wakati mmoja au unailipa kwa semester, vp kuhusu mafunzo kwa vitendo hawa wa2 wanafanyia wapi coz nasikia pande hzo hakuna hospital, ebu nisaidie kwa hli

Hao jamaa wanazo practicle zao na mafunzo kwa vitendo wanafanya mahospitalini kama field. Pale wanazo maabara za kutosha na kama issue ingekuwa Hospitali UDOM kuna hospitali kubwa na nzuri. Then panajengwa Kituo kikubwa cha uchunguzi ambacho tetesi zinasema kuwa hatapelekwa mgonjwa India ila atakwenda UDOM, bado hakijakamilika. Kuhusu ada baba inategemea na Asilimia bodi walizokupa, Ila mara nyingi wanalipa kwa semista. Accomodation pia wanalipa kwa semista ili kuepuka mizinguo flani. Kama vip nipm nikujuze fresh kuhusu malipo
 
CoES wote wanakaa hostel za CoED au ni mwaka wa kwanza tu na je kuna umbali gani kutoka CoES hadi CoED
 
CoES wote wanakaa hostel za CoED au ni mwaka wa kwanza tu na je kuna umbali gani kutoka CoES hadi CoED

wote wanakaa hapo Coed hawaendi CoES maana ujenzi ulikua unaendele so lecture zao zote walikuwa wanapigia hapo Coed
 
CoES wote wanakaa hostel za CoED au ni mwaka wa kwanza tu na je kuna umbali gani kutoka CoES hadi CoED

Ni nyuma ya mlima fulani hivi. Unaweza kutembea tu kwa miguu kama dk 45 hivi. Ila hakuna uhakika kamma wataendelea kuishi Coed au watahamia Informatics. Kutokea Info ni karibu zaidi kuliko kutokea Educcation
 
MAKOLE, Wings wakuu mungu awazidishie sana, tafadhari msituchoke kwa maswali najua kuna wadau wengi watakuja hapa kuhoji hiki na kile.
 
Last edited by a moderator:
Na wale walochaguliwa computer engeneering wanapanda daladala za kwenda kitivo gani wapi?na vipi kuhusu kuhusu mavazi NAOMBA UNIFUMBUE MKUU
 
Back
Top Bottom