MAKOLE
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 618
- 280
- Thread starter
- #61
Makole kuna wale ambao bila kubeba mabegi makubwa tena zaidi ya moja hajaona kama ameenda chuo vile
Dah, Wings watu hao wapo, ila kwa kule kwenda na mabegi mawili ni issue, kwa MTITI ule yatakiwa unayo rasket na raba simple sana. Hakuna haja hata ya mabuti yenye chuma mbele.