Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

wale mtakaoishi college of education hakikisha unavyombo vyakutosha kuifadhi maji...vizur room yenu ikawa na JABA.
 
Mkuu me ntakuja na begi 1 kubwa vp nauli haitaongezeka? Lingine sijahesabia kwakua ni dogo la mgongoni.

konda wa daladala wana tabia ya kutoza mzigo 500/- sasa itategemea utabeba mingapi na hiyo scramble ya usafiri inavyokuwa ya mshikemshike
 
oya mkuu unapiga na wewe pande hzo nini, vp medicine hapo wakuu wanaosoma hapo wanasema iko vp , ebu nisaidie kwa hlo mkuu

Mkuu hapana, mimi sina mkataba tena na Udom. Kwa MD siwajui maana wako busy kupindukia wadau wa Coed wanaweza kuwafahamu vizuri laada wanaweza kukusaidia zaidi
 
Hapo wanapaita St social, (samahani kama ntawakwaza watu), hapo kuna mapinduzi ya mavazi, ndipo palikuwa panavaliwa vivazi. Ila kwa sasa nadhani ndio college inayoongoza kwa nidhamu ya mavazi. wanawashinda walimu kwa haiba hapo. Hostel za kumwaga sana, maisha ya hapo ndo ivyo tena, mtu pesaaaaa na watoto wa kishua. ingawa wapo watoto wa wakulima lakini nao wanabadilika wakifika hapo.

Ukiingia eneo hilo heshimu "pavement" usikate njia ukakanyaga nyasi kufuata njia zisizo rasmi, utakinukisha mapema, wako vijana wa SMA-JKT (SINA HAKIKA KAMA BADO WANALINDA ENEO HILO), unaweza kujikuta uapanda na kumwagilia hayo majani, Usimwage maji dirishani, usianike kitu chochote dirishani, utaingia matatani. Hapo ni sosho ndugu!

Vip kuhusu maji mkuu
 
Mkuu hapana, mimi sina mkataba tena na Udom. Kwa MD siwajui maana wako busy kupindukia wadau wa Coed wanaweza kuwafahamu vizuri laada wanaweza kukusaidia zaidi

Hao jamaa ni nouma, wana shule moja ya ajabu mno. Wako bize mbaya na wenyewe wanaishi coed.
 
kuna muda maalum wa kutoka na kuingia chuoni

kuingia au kutoka hukatwazi wewe ni mtu mzima unajitambua ila itakapozidi saa 5 usiku itakubidi upite kwa kuwaonesha SUMA JKT kitambulisho ndipo uruhusiwe kuingia chuoni
 
kuna muda maalum wa kutoka na kuingia chuoni

Kuna kipindi ilikuwa mwisho ni saa 6 usiku gari haiingii wala haitoki ndani ya chuo kupitia geti kuu. Kwa Social Science nilisikia( Sina uhakika sana) kuwa wao movement huishia saa 5 usiku. Baada ya hapo usionekane. Labda watuhakikishie wenyewe hapa ndani. But kama nilivyosema, mambo yanabadilika. So jipange.
 
konda wa daladala wana tabia ya kutoza mzigo 500/- sasa itategemea utabeba mingapi na hiyo scramble ya usafiri inavyokuwa ya mshikemshike

Wings unachekesha sana ndugu, vijana wajiandae kama wanakwenda JKT vile. simple sana. Begi moja dogo tosha sana.
 
Wadau vp kuhusu computer engineering? Lecturerz wapo wa kutosha? Vp kuna maji? Na rum zao zina facilities za kutosha?
 
wale mtakaoishi college of education hakikisha unavyombo vyakutosha kuifadhi maji...vizur room yenu ikawa na JABA.

Walau kwa sasa hapo coed napo maji sio tatizo. Yapo ya kutosha ila kwa tahadhari tu Jaba nimuafaka
 
Wadau vp kuhusu computer engineering? Lecturerz wapo wa kutosha? Vp kuna maji? Na rum zao zina facilities za kutosha?

Maji yapo UDOM sio shida kwa sasa. College ya Informatics sifahamu kuhusu academics lakini wanavyovichwa vya kutosha. Manta hofu, pakulala papo kama kawa, usiumize kichwa kuhusu Usingizi.
 
Wings unachekesha sana ndugu, vijana wajiandae kama wanakwenda JKT vile. simple sana. Begi moja dogo tosha sana.

Makole kuna wale ambao bila kubeba mabegi makubwa tena zaidi ya moja hajaona kama ameenda chuo vile
 
Back
Top Bottom