MAKOLE
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 618
- 280
- Thread starter
- #221
Mkuu MAKOLE vipi kuhusu suala la dress code kwa ujumla kuanzia hostel hadi lecture rooms, je pens,raba na open shoes a.k.a masai.
Ukiwa class baadhi ya college na baadhi ya wahadhiri hawataki kuona pens wala kapelo. Masai na open shoes ruksa ila ndala mimi sijawahi kuziona na mwenyewe pia huwezi kuvaa ndala kwenye mihadhara na semina. Kwa hostel vaa chochote uwezacho, sio issue. Ila kwa Social usivae hovyo popote pale, ukikutwa ni msala. Dressing code labda wafanye kutoa general ila kwa sasa kila college inazo taratibu zake. Wakati mwingine hata kwenye Pepa au test ukikutwa na pensi wanakusepesha. Kwa Coed, ni marufuku kuvaa t shirt zenye maandishi ukiwa library, na wanawake walikuwa wanazuiwa kuvaa suruali hasa za jeans ukiwa library. Hta hivyo utaratibu huu kwa coed ni mgeni kwa kuwa waliuanzisha mwishoni mwa semesta iliyopita. Nadhani umenielewa mkuu .