Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

Kwanini crdb ndo nzur na co nmb

Kuna habari kuwa Bodi ya mikopo inamkataba na benki moja tu ambayo ni crdb katika kusambazo mikopo kwa wanachuo. Kinachofanyika, CRDB hupokea check ya malipo na inajukumu la kuzisambaza kwa wateja hata ambao sio crdb (nmb, nbc...) zoezi hili linasababisha kucheleweshwa kwa fedha za wanachuo wa benki nyingine, uthibitisho wa hili ni kwamba mara nyingi, wanafunzi wanaotumia crdb katika mikopo wanapata pesa mapema zaidi kuliko wa benki nyingine zote. Na pia niliwahi kushuhudia sakata la wanafunzi fulani ambao ni wateja wa nmb wakielekezwa kwenda kwa meneja wa crdb kuulizia cheki yao ya malipo baada ya crdb kuminya nayo. Faida kubwa ni hiyo kwamba utaanza kupata mkopo kwa muda muafaka.
 
naendelea kukuponngeza kka makole kwa ushauri wako,,naombe unisaidi hili,,kuhsu join instruction tunapataje,,maama kuna rafk yangu ypo kazni na anatakiwa apeleke join intruction ndo aruhusiwe,,ili aendelee kupata salary,,
 
Classic gym ni hadi mjini, ila sidhani kama wapo watu wanaokwenda huko. but local gym zipo kwa wabeba makopo ila sio rasmi sana na sijui hili kwa colleges, na pia yawezekana hata ndani ya college watu hawajui kama kuna gyms, Kwa Educatoion kwa mfano, Wapo wanaofanya mazoezi Kwenye roof ya kila Hostel na huko ndo wameweka vyuma vya kubeba.
mpwa hivi ile gym ya pale Shabiby Petrol station imeshakufa au hakuna wateja??
 
naendelea kukuponngeza kka makole kwa ushauri wako,,naombe unisaidi hili,,kuhsu join instruction tunapataje,,maama kuna rafk yangu ypo kazni na anatakiwa apeleke join intruction ndo aruhusiwe,,ili aendelee kupata salary,,

Watatoa wenyewe joining, hata hivyo kuna link inaitwa ALIS ingekuruhusu kuingia pale na kuingiza index namba ya 4m na jina lako, then ungeidownload maana tayari uko kwenye database ya chuo. kwa sasa haifunguki. labda pigeni cm kuwauliza
 
Announcement to All First Year and Continuing Students
IMPORTANT NOTICE TO BOTH FIRST YEAR AND CONTINUING STUDENTS
2012/2013 ACCADEMIC YEAR
All students are required to note that:
1. All students are MUST register with the NATIONAL HEALTH INSURANCE FUND (NHIF)
2. University of Dodoma Students Organisation (UDOSO) fee is 5,000/= per student per year.
3. UDOSO fee MUST be paid by ALL STUDENTS in CRDB Bank:
Account number: - 01J2083321200
Account name: - UDOSO FEDERATION
Please DO NOT pay UDOSO fee in any other Account (Only UDOSO fee is payable in this account).
4. In order to avoid unnecessary queue (long lines in the bank) you are all urged to pay all the required fees before coming to Dodoma.
5. You will be required to show proof of payments (Bank pay-in-slip) during registration.
6. Make sure you write your names on the Bank pay-in-slip.
 
Kwa wale waliochaguliwa Udom Joining instruc zinapatikana chuoni na wale wa mikoani zitaaza kutumwa Tar 8 september.
 
Watatoa wenyewe joining, hata hivyo kuna link inaitwa ALIS ingekuruhusu kuingia pale na kuingiza index namba ya 4m na jina lako, then ungeidownload maana tayari uko kwenye database ya chuo. kwa sasa haifunguki. labda pigeni cm kuwauliza

hahaha!! MAKOLE umenifurahisha unapoandika ALIS. ni Academic Registration Information System(ARIS). Acha kutisha wenzako. Au umetapeliwa na wajasi kule Ng'ox.
 
Last edited by a moderator:
Kwa wale waliochaguliwa Udom Joining instruc zinapatikana chuoni na wale wa mikoani zitaaza kutumwa Tar 8 september.

joining instructions imeshatolewa ipo online katika mtandao wa chuo ila bado admission letter ndo zitatolewa siku yoyote kupitia online student admission acount
 
tupeni details vitu vya mcng kwenye hiyo joining instr ninini,maana wengine tupo mbal

yenyewe inakuonyesha kiasi cha fedha unazo takiwa kulipa kwa mwaka mzima kuanzia fee, exam fee, acomodation,reg fee,udoso, id etc si lazima udownload uwenayo kufahamu tu vinavyo hitajika inatosha bt kuna ADMISSION LETTER ndo bado hawajatoa yenyewe ni lazima kudownload uwenayo sikuzote utadownload kupitia mtandao yenyewe inakuthibitishia kua wewe ni mwanafunzi halali wa chuo na digree husika ktk chuo hcho wakati wa kusajiliwa
 
hahaha!! MAKOLE umenifurahisha unapoandika ALIS. ni Academic Registration Information System(ARIS). Acha kutisha wenzako. Au umetapeliwa na wajasi kule Ng'ox.

wewe ndo umekosea MAKOLE yuko sahihi kuna ALIS(Admission Latter Issuing System) na ARIS(Academic Registration Information System)
take your time upitie website ya UDOM utajionea mwenyewe at upper right of the UDOM homepage.
 
Last edited by a moderator:
nimetoka huko leo, waminiambia joirn instruction inapatikana ktk website ya chuo(ALIS
).so ucjisumbue kwenda huko
 
Wamesema soon watai iopen hiyo alis,sikutaka kuhoji zaidi,baada ya kuuliza lini alikomaa tu itakua soon,we tembelea website ya chuo mara kwa mara.ni bora tu kufata huo ushauri
 
Back
Top Bottom