ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 18,428
- 24,145
Eti nipitwe na fasheni kisa flat.
Kumbeeeeee
Eti nipitwe na fasheni kisa flat.
hii V inatisha aisee na sidhani kama kuna watu wanayo
aaah wakwende zao huko,mtu hata usipate sehemu ya kushika?mwishowe ujigonge kwenye mifupa bure
sasa jamani kosa letu nini sisi wenye flat??? mbona mwatunyasanyasa kwani tulijiumbaaa???
safi, suruali si zinakutoa chicha eti?
nimesikia eti upo square eti kweli...!!!!
vipi kwa wale akina sisi wenye flat nyuma, na tv za zamani mbele tuvaeje, endelea kutoa ushauri tafadhali
sana yani balaaaaa
Enzi za kina Amrish Poor aka dingi la kinoma
Dan denzopa simba mla kitimoto
Mithun Chackarabot kijana wa zamani
Sunil Shetty mzee wa makombora
Dharumendra mzee wa nguvu za Simba
Khadir Khan mzee wa akili mingi
Sun deol kichaa a.k.a kabangi
Sanjidat mtoto wa mbwa/doggy
Nadsurdisha mzee wa busara
Hahaha tumetoka mbali sana sisi watoto wa uswazi.
Eti nipitwe na fasheni kisa flat.
ha ha ha shemeji white masai ulipotea, karibu tucheke wote.
Nipo mama za siku nyingi?jirani yangu upo?
Haha nilikimbia Tz yenu! Mambo vipi lakini?
Nipo mama za siku nyingi?
pata picha umekutana na huyo "v" ni balaa tupu!!!
View attachment 188660
Mmhh! Nimekuja na maji ya carolite unatumia shem?Ni poa tu, hujaja na zawadi kutoka huko manchi mengine shem
Siku siyo nyingi nitakuja kule kwetu ninyooshe maelezo!ulijichimbiaga wapi
Mmhh! Nimekuja na maji ya carolite unatumia shem?