asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
Upo bibie?"Suluali" ndio nini?
Naona rasimu imeshaiva tayari kupigiwa kura.....
Upo bibie?"Suluali" ndio nini?
kwa taarifa yako wanawake wenye flatscreen ndiyo wanapendeza suruwali, awe na mwili mdogo tu!
semeki niambukize kicheko na mie nina mwaka sijacheka sasa.
Ndio maana nikamwambia aweke picha nashangaa picha zimekuja bila suruali...
na originally suruwali ni vazi la watu skinny! sasa utakuta mtu kvaa suruwali mpaka makalio hayaenei, kuinama tabu tupu, akitembea kidogo tu inalowa katikati...tabu kweli!
View attachment 188689
na originally suruwali ni vazi la watu skinny! sasa utakuta mtu kvaa suruwali mpaka makalio hayaenei, kuinama tabu tupu, akitembea kidogo tu inalowa katikati...tabu kweli!
View attachment 188689
pata picha umekutana na huyo "v" ni balaa tupu!!!
View attachment 188660
pata picha umekutana na huyo "v" ni balaa tupu!!!
View attachment 188660
mkuu hiyo "v" huwaga haina mvuto kabisa.wananiboaga sana wahudumu wa ndege ya qatar,akikuangalia kwa mbele unamtamani akigeuka nyuma utadhani amechomeka mkasi makalioni
mkuu hiyo "v" huwaga haina mvuto kabisa.wananiboaga sana wahudumu wa ndege ya qatar,akikuangalia kwa mbele unamtamani akigeuka nyuma utadhani amechomeka mkasi makalioni
Flat screen wengi wako vizuri kiuchumi..kuliko wenye mizigo...unakuta mdada wowowo hiloo...lakini hajui atakula wapi kesho...
Nimecheka ya kulalia aiseee Tyta mzee wa mapicha akija hapaa ntacheka nifeee
si utani,akichuchumaa chini utadhani kakaa,yaani makalio yanagusa chini,eti hapo anakuwa kachuchumaa.aisee hata bure sichukui
Haya bana leo wenye flat mtawafanya wapake mchinaa
aaah wakwende zao huko,mtu hata usipate sehemu ya kushika?mwishowe ujigonge kwenye mifupa bure
Wapenda neema za allah ee
ha ha ha enzi za kutoa sh. 50 af unachek movie kwenye vibanda eeh!!!lol....Aiseeeeh
Hahaha umenikumbusha mbali.
Enzi za kina Amrish Poor aka dingi la kinomaha ha ha enzi za kutoa sh. 50 af unachek movie kwenye vibanda eeh!!!lol....