Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Suruali zinawatoa sana mbona? Ni inch tu zinatofautiana.
pata picha umekutana na huyo "v" ni balaa tupu!!!
View attachment 188660
ha ha ha ha haloo ya simba, simba mla kitimoto ncheke ninenepe mie!!!!
Suruali zinawatoa sana mbona? Ni inch tu zinatofautiana.
hatari tupu hiyo ni shidanian...
Nawashauri msipende kuvaa suluari maana mnachoreka sana. Kama una flat screen yako tafadhali vaa sketi au gauni utaonekana vema zaidi kuliko ukiwa na suluali.
Mungu katuumba tofauti na kuna wengne ana kfua kikubwa na kiuno hana, akivaa suluali muonekano wake unakuwa unique. Vaeni magauni au skets tu mtapendeza
hahahaaaaa hapo kwenye inch ndio tunatofautiana loo!!!!! vip ndugu kwema
kwa taarifa yako wanawake wenye flatscreen ndiyo wanapendeza suruwali, awe na mwili mdogo tu!
Flat screen wengi wako vizuri kiuchumi..kuliko wenye mizigo...unakuta mdada wowowo hiloo...lakini hajui atakula wapi kesho...
Ni kweli vaa kulingana na umbo lako,mtu unakuta ana makalio flat kama anaendesha magari yakwenda mikoan afu kakomalia surual kisa ndo mtindo,unajichoresha tunakuona ni mfata mkumbo hujitambui wala kujitathimini...mtu una mwendo kama lalola afu unakomalia mapigo ya jukwaan,kula nguo kulingana na umbo lako...
semeki niambukize kicheko na mie nina mwaka sijacheka sasa.
Nawashauri msipende kuvaa suluari maana mnachoreka sana. Kama una flat screen yako tafadhali vaa sketi au gauni utaonekana vema zaidi kuliko ukiwa na suluali.
Mungu katuumba tofauti na kuna wengne ana kfua kikubwa na kiuno hana, akivaa suluali muonekano wake unakuwa unique. Vaeni magauni au skets tu mtapendeza
Kumbe humu wengi LED.
Aiseeeehha ha ha ha haloo ya simba, simba mla kitimoto ncheke ninenepe mie!!!!
Wewe ni heart au round?hatari tupu hiyo ni shidanian...