Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,467
- 11,641
Nawashauri msipende kuvaa suluari maana mnachoreka sana. Kama una flat screen yako tafadhali vaa sketi au gauni utaonekana vema zaidi kuliko ukiwa na suluali.
Mungu katuumba tofauti na kuna wengne ana kfua kikubwa na kiuno hana, akivaa suluali muonekano wake unakuwa unique. Vaeni magauni au skets tu mtapendeza
Mungu katuumba tofauti na kuna wengne ana kfua kikubwa na kiuno hana, akivaa suluali muonekano wake unakuwa unique. Vaeni magauni au skets tu mtapendeza