zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,154
- 28,890
Umezunguka sana wakati tatizo ni mbowe kuguswa.Sasa mtu kawa maarufu juzi tu kaanza kumshambulia Mbowe out of nowhere! haya mambo hayapendezi especially tuliopo opposition maana tukikwaa madaraka si yatajirudia ya sabaya na Makonda!
Na tangu Dunia hii kuumbwa ukwel umewaweka matatani mamilioni na ma elfu ya watu.....Mwabukusi ni mkweli sana
Mbona nimemtaja Lissu na Juma Duni!!Umezunguka sana wakati tatizo ni mbowe kuguswa.
Unafiki upi sasa? Mbona CHADEMA walisusia kikao cha Samia.... mbona pia wamepinga mkataba wa bandari alitaka wafanyeje?Wanyakyusa huwa wamenyooka,ukitaka siasa za unafiki usiambatane na Wanyakyusa.
Mbowe, Lissu tunawapa pole za kupigwa risasi na kufilisiwa lakini hii struggle siyo ya watu binafsi sababu kuna watu wamekufa kabisa kwa ajili ya mapambano ya kuitoa CCM. Je hao utawambia nini familia zao? Viongozi wa sasa hawana mbinu, ari wala mikakati ya kiuhalisia wakuitoa CCM. Wakina Mwakubusi wanajaribu kuratibu maandamano na civil disobedience na hiyo ndio lugha CCM wanaelewa na kuogopa. Hivi nyie mnawezaje kuwa waastarabu kwa watu wanaoiba kura mchana kweupe huko Zanzibar na mkaamini watabadilika na kuwa waastarabu? Eti unaongelea vyuo vya Uongozi, Diplomacy una akili kweli wewe? Unapambana na mhuni wa Mbagala kwa technique za Oysterbay.Salaam wana jukwaa, nimekutana na interview ya Wakili Mwabukusi na Maria Sarungi probably kutoka Maria spaces/clubhouse. Cha kushangaza Wakili msomi alikua busy kushambulia wapinzani kuwa ni wawaza ubunge, wapenda vyeo n.k. Hivi kweli hajui struggle za lissu hadi kumwagiwa risasi, hajui mbowe alivyofilisiwa na kufungwa kisa kudai katiba mpya na democracia nchi hii?
Pia kalaumu wapinzani kutosupport maandamano yake akiwaita waoga? Hivi siasa za maandamano wapinzani hawajui? Amesahau maandamano ya Arusha 2011 hadi watu wakauwawa? Amesahau maandamano ya pale Kinondoni hadi kina Mbowe wakahukumiwa kifungo na faini ya 300 Million? Yeye Leo ndio anajifanya ni pro-protest kuliko kina Hajji Duni au lissu?
Sio hivyo tu kaongelea suala la wake za viongozi kulipwa posho!! Yes ni kitu cha ajabu lakini Mwabukusi amekiadress kana kwamba tunalipia tendo la ndoa la viongozi yaani "we are paying for that thing.... we are paying for sex". As if wake za viongozi ni vyombo vya ngono tu. Kauli za namna hii ni unnecessary maana badala ya hoja kuwa bandari utaanza kujibu makelele ya feminists na UWT!!
Ushauri naoweza kumpa Mwabukusi ni kwamba atafute PR manager ajue namna ya kujenga mahusiano na umma. Ana hoja nzuri ya Bandari pamoja na katiba mpya ila lazima ajifunze kuwa na shabaha moja kwa wakati. Ni hatari sana kupambana na CCM, CHADEMA na wanawake kwa wakati mmoja utaondoka kwenye limelight in no time....
Kingine kuna haja ya vyama kama CHADEMA au ACT kupitia TCD kuanzisha chuo cha uongozi, diplomacy na political science ili wanasiasa/wanaharakati wote vijana wapitie huko kabla ya kupewa teuzi/uongozi hasa kwenye vyombo vya uwakilishi au kuongoza taasisi/jumuiya ya vyama.
Hili litasaidia kuondoa mihemko, kuleta utulivu wa akili kwenye mijadala, na kuwa na mawasiliano mazuri na jamii. Sasa mtu kawa maarufu juzi tu kaanza kumshambulia Mbowe out of nowhere! haya mambo hayapendezi especially tuliopo opposition maana tukikwaa madaraka si yatajirudia ya sabaya na Makonda!
View: https://youtu.be/78Gi9mXZWwA?si=YMXW0PFJ-jpAesu9
Msijazane upepo, kuna tofauti ya ukweli na UJINGA. Mtu kma unaona vyama vyote ni feki si uanzishe chako? Au kama unaona wenzio hawaku support si usonge mbele alone why mpaka utukane watu ambao hawako liable kwako?Na tangu Dunia hii kuumbwa ukwel umewaweka matatani mamilioni na ma elfu ya watu.....
Ukiwa mkwel maadui wako lazima wawe wengi sanaaa
SawaSalaam wana jukwaa, nimekutana na interview ya Wakili Mwabukusi na Maria Sarungi probably kutoka Maria spaces/clubhouse. Cha kushangaza Wakili msomi alikua busy kushambulia wapinzani kuwa ni wawaza ubunge, wapenda vyeo n.k. Hivi kweli hajui struggle za lissu hadi kumwagiwa risasi, hajui mbowe alivyofilisiwa na kufungwa kisa kudai katiba mpya na democracia nchi hii?
Pia kalaumu wapinzani kutosupport maandamano yake akiwaita waoga? Hivi siasa za maandamano wapinzani hawajui? Amesahau maandamano ya Arusha 2011 hadi watu wakauwawa? Amesahau maandamano ya pale Kinondoni hadi kina Mbowe wakahukumiwa kifungo na faini ya 300 Million? Yeye Leo ndio anajifanya ni pro-protest kuliko kina Hajji Duni au lissu?
Sio hivyo tu kaongelea suala la wake za viongozi kulipwa posho!! Yes ni kitu cha ajabu lakini Mwabukusi amekiadress kana kwamba tunalipia tendo la ndoa la viongozi yaani "we are paying for that thing.... we are paying for sex". As if wake za viongozi ni vyombo vya ngono tu. Kauli za namna hii ni unnecessary maana badala ya hoja kuwa bandari utaanza kujibu makelele ya feminists na UWT!!
Ushauri naoweza kumpa Mwabukusi ni kwamba atafute PR manager ajue namna ya kujenga mahusiano na umma. Ana hoja nzuri ya Bandari pamoja na katiba mpya ila lazima ajifunze kuwa na shabaha moja kwa wakati. Ni hatari sana kupambana na CCM, CHADEMA na wanawake kwa wakati mmoja utaondoka kwenye limelight in no time....
Kingine kuna haja ya vyama kama CHADEMA au ACT kupitia TCD kuanzisha chuo cha uongozi, diplomacy na political science ili wanasiasa/wanaharakati wote vijana wapitie huko kabla ya kupewa teuzi/uongozi hasa kwenye vyombo vya uwakilishi au kuongoza taasisi/jumuiya ya vyama.
Hili litasaidia kuondoa mihemko, kuleta utulivu wa akili kwenye mijadala, na kuwa na mawasiliano mazuri na jamii. Sasa mtu kawa maarufu juzi tu kaanza kumshambulia Mbowe out of nowhere! haya mambo hayapendezi especially tuliopo opposition maana tukikwaa madaraka si yatajirudia ya sabaya na Makonda!
View: https://youtu.be/78Gi9mXZWwA?si=YMXW0PFJ-jpAesu9
Vikojozi hawana ubavu wa kuandamanaSalaam wana jukwaa, nimekutana na interview ya Wakili Mwabukusi na Maria Sarungi probably kutoka Maria spaces/clubhouse. Cha kushangaza Wakili msomi alikua busy kushambulia wapinzani kuwa ni wawaza ubunge, wapenda vyeo n.k. Hivi kweli hajui struggle za lissu hadi kumwagiwa risasi, hajui mbowe alivyofilisiwa na kufungwa kisa kudai katiba mpya na democracia nchi hii?
Pia kalaumu wapinzani kutosupport maandamano yake akiwaita waoga? Hivi siasa za maandamano wapinzani hawajui? Amesahau maandamano ya Arusha 2011 hadi watu wakauwawa? Amesahau maandamano ya pale Kinondoni hadi kina Mbowe wakahukumiwa kifungo na faini ya 300 Million? Yeye Leo ndio anajifanya ni pro-protest kuliko kina Hajji Duni au lissu?
Sio hivyo tu kaongelea suala la wake za viongozi kulipwa posho!! Yes ni kitu cha ajabu lakini Mwabukusi amekiadress kana kwamba tunalipia tendo la ndoa la viongozi yaani "we are paying for that thing.... we are paying for sex". As if wake za viongozi ni vyombo vya ngono tu. Kauli za namna hii ni unnecessary maana badala ya hoja kuwa bandari utaanza kujibu makelele ya feminists na UWT!!
Ushauri naoweza kumpa Mwabukusi ni kwamba atafute PR manager ajue namna ya kujenga mahusiano na umma. Ana hoja nzuri ya Bandari pamoja na katiba mpya ila lazima ajifunze kuwa na shabaha moja kwa wakati. Ni hatari sana kupambana na CCM, CHADEMA na wanawake kwa wakati mmoja utaondoka kwenye limelight in no time....
Kingine kuna haja ya vyama kama CHADEMA au ACT kupitia TCD kuanzisha chuo cha uongozi, diplomacy na political science ili wanasiasa/wanaharakati wote vijana wapitie huko kabla ya kupewa teuzi/uongozi hasa kwenye vyombo vya uwakilishi au kuongoza taasisi/jumuiya ya vyama.
Hili litasaidia kuondoa mihemko, kuleta utulivu wa akili kwenye mijadala, na kuwa na mawasiliano mazuri na jamii. Sasa mtu kawa maarufu juzi tu kaanza kumshambulia Mbowe out of nowhere! haya mambo hayapendezi especially tuliopo opposition maana tukikwaa madaraka si yatajirudia ya sabaya na Makonda!
View: https://youtu.be/78Gi9mXZWwA?si=YMXW0PFJ-jpAesu9
Hivi Mwabukusi anajua kuwa anapambana na kundi kubwa la matajiri duniani?Salaam wana jukwaa, nimekutana na interview ya Wakili Mwabukusi na Maria Sarungi probably kutoka Maria spaces/clubhouse. Cha kushangaza Wakili msomi alikua busy kushambulia wapinzani kuwa ni wawaza ubunge, wapenda vyeo n.k. Hivi kweli hajui struggle za lissu hadi kumwagiwa risasi, hajui mbowe alivyofilisiwa na kufungwa kisa kudai katiba mpya na democracia nchi hii?
Pia kalaumu wapinzani kutosupport maandamano yake akiwaita waoga? Hivi siasa za maandamano wapinzani hawajui? Amesahau maandamano ya Arusha 2011 hadi watu wakauwawa? Amesahau maandamano ya pale Kinondoni hadi kina Mbowe wakahukumiwa kifungo na faini ya 300 Million? Yeye Leo ndio anajifanya ni pro-protest kuliko kina Hajji Duni au lissu?
Sio hivyo tu kaongelea suala la wake za viongozi kulipwa posho!! Yes ni kitu cha ajabu lakini Mwabukusi amekiadress kana kwamba tunalipia tendo la ndoa la viongozi yaani "we are paying for that thing.... we are paying for sex". As if wake za viongozi ni vyombo vya ngono tu. Kauli za namna hii ni unnecessary maana badala ya hoja kuwa bandari utaanza kujibu makelele ya feminists na UWT!!
Ushauri naoweza kumpa Mwabukusi ni kwamba atafute PR manager ajue namna ya kujenga mahusiano na umma. Ana hoja nzuri ya Bandari pamoja na katiba mpya ila lazima ajifunze kuwa na shabaha moja kwa wakati. Ni hatari sana kupambana na CCM, CHADEMA na wanawake kwa wakati mmoja utaondoka kwenye limelight in no time....
Kingine kuna haja ya vyama kama CHADEMA au ACT kupitia TCD kuanzisha chuo cha uongozi, diplomacy na political science ili wanasiasa/wanaharakati wote vijana wapitie huko kabla ya kupewa teuzi/uongozi hasa kwenye vyombo vya uwakilishi au kuongoza taasisi/jumuiya ya vyama.
Hili litasaidia kuondoa mihemko, kuleta utulivu wa akili kwenye mijadala, na kuwa na mawasiliano mazuri na jamii. Sasa mtu kawa maarufu juzi tu kaanza kumshambulia Mbowe out of nowhere! haya mambo hayapendezi especially tuliopo opposition maana tukikwaa madaraka si yatajirudia ya sabaya na Makonda!
View: https://youtu.be/78Gi9mXZWwA?si=YMXW0PFJ-jpAesu9
Zipo fact, yale maandamano si wanaanda SAUT YA WATANZANI? au Mwambukusi anayo yake mengine,Salaam wana jukwaa, nimekutana na interview ya Wakili Mwabukusi na Maria Sarungi probably kutoka Maria spaces/clubhouse. Cha kushangaza Wakili msomi alikua busy kushambulia wapinzani kuwa ni wawaza ubunge, wapenda vyeo n.k. Hivi kweli hajui struggle za lissu hadi kumwagiwa risasi, hajui mbowe alivyofilisiwa na kufungwa kisa kudai katiba mpya na democracia nchi hii?
Pia kalaumu wapinzani kutosupport maandamano yake akiwaita waoga? Hivi siasa za maandamano wapinzani hawajui? Amesahau maandamano ya Arusha 2011 hadi watu wakauwawa? Amesahau maandamano ya pale Kinondoni hadi kina Mbowe wakahukumiwa kifungo na faini ya 300 Million? Yeye Leo ndio anajifanya ni pro-protest kuliko kina Hajji Duni au lissu?
Sio hivyo tu kaongelea suala la wake za viongozi kulipwa posho!! Yes ni kitu cha ajabu lakini Mwabukusi amekiadress kana kwamba tunalipia tendo la ndoa la viongozi yaani "we are paying for that thing.... we are paying for sex". As if wake za viongozi ni vyombo vya ngono tu. Kauli za namna hii ni unnecessary maana badala ya hoja kuwa bandari utaanza kujibu makelele ya feminists na UWT!!
Ushauri naoweza kumpa Mwabukusi ni kwamba atafute PR manager ajue namna ya kujenga mahusiano na umma. Ana hoja nzuri ya Bandari pamoja na katiba mpya ila lazima ajifunze kuwa na shabaha moja kwa wakati. Ni hatari sana kupambana na CCM, CHADEMA na wanawake kwa wakati mmoja utaondoka kwenye limelight in no time....
Kingine kuna haja ya vyama kama CHADEMA au ACT kupitia TCD kuanzisha chuo cha uongozi, diplomacy na political science ili wanasiasa/wanaharakati wote vijana wapitie huko kabla ya kupewa teuzi/uongozi hasa kwenye vyombo vya uwakilishi au kuongoza taasisi/jumuiya ya vyama.
Hili litasaidia kuondoa mihemko, kuleta utulivu wa akili kwenye mijadala, na kuwa na mawasiliano mazuri na jamii. Sasa mtu kawa maarufu juzi tu kaanza kumshambulia Mbowe out of nowhere! haya mambo hayapendezi especially tuliopo opposition maana tukikwaa madaraka si yatajirudia ya sabaya na Makonda!
View: https://youtu.be/78Gi9mXZWwA?si=YMXW0PFJ-jpAesu9
Wewe unahitaji kwenda shule kuliko hata hao unaowasema. Vyama vya siasa ni vya umma havina wenyewe hii kauli ya kusema watu waanzishe vyama vyao ni ya kiuhuni na inasemwa na watu wenye upeo na uelewa mdogo kuhusu vyama na siasa. Watu wanaweza kuhama chama sababu ya sera siyo kiongozi mbovu ambaye afuati sera za chama.Msijazane upepo, kuna tofauti ya ukweli na UJINGA. Mtu kma unaona vyama vyote ni feki si uanzishe chako? Au kama unaona wenzio hawaku support si usonge mbele alone why mpaka utukane watu ambao hawako liable kwako?
Ni sawa na umemchoka ndugu yako kukaa hapo kwako si unaweza mtoa kwa gia ya kumtafutia kazi au biashara kwani lazima mpka umuite umwambie NIMEKUCHOKA??
TCD anzisheni chuo shida ni kubwa zaidi ya nilivyodhani
Lakini je watanzania walio tayari kutumia techniques za mbagara kwenye mpambano huu wapo.?Mbowe, Lissu tunawapa pole za kupigwa risasi na kufilisiwa lakini hii struggle siyo ya watu binafsi sababu kuna watu wamekufa kabisa kwa ajili ya mapambano ya kuitoa CCM. Je hao utawambia nini familia zao? Viongozi wa sasa hawana mbinu, ari wala mikakati ya kiuhalisia wakuitoa CCM. Wakina Mwakubusi wanajaribu kuratibu maandamano na civil disobedience na hiyo ndio lugha CCM wanaelewa na kuogopa. Hivi nyie mnawezaje kuwa waastarabu kwa watu wanaoiba kura mchana kweupe huko Zanzibar na mkaamini watabadilika na kuwa waastarabu? Eti unaongelea vyuo vya Uongozi, Diplomacy una akili kweli wewe? Unapambana na mhuni wa Mbagala kwa technique za Oysterbay.
Ukwel mchungu na ukwel Huwa unatabia ya kujitetea wenyewe hautetewi...Msijazane upepo, kuna tofauti ya ukweli na UJINGA. Mtu kma unaona vyama vyote ni feki si uanzishe chako? Au kama unaona wenzio hawaku support si usonge mbele alone why mpaka utukane watu ambao hawako liable kwako?
Ni sawa na umemchoka ndugu yako kukaa hapo kwako si unaweza mtoa kwa gia ya kumtafutia kazi au biashara kwani lazima mpka umuite umwambie NIMEKUCHOKA??
TCD anzisheni chuo shida ni kubwa zaidi ya nilivyodhani
Ndio, hao wazanzibar mbona waliandamana wakafa Mamia walipata nini? Wamekuja kupewa serikali ya Umoja wa kitaifa mezani. Same to CHADEMA kama ni maandamano tulifanya sana ila mchakato wa katiba enzi za JK na Sasa zimepatikana mezani wala sio kwa maandamano.Eti unaongelea vyuo vya Uongozi, Diplomacy una akili kweli wewe?
Nimeongelea uwasilishaji mada kwa wananchi, mbona Mbowe au Mbatia au Zitto wapo composed kwanini mpaka uanze matusi weeee hadi kwa wapinzani wenzako waliokutoa gerezani?Unapambana na mhuni wa Mbagala kwa technique za Oysterbay.
Kwa nchi kama Kenya ni kweli ila waTanzania wengi bado wajinga na hawaamini katika nguvu ya umma. Ndio maana kuna mgao ila wanacheka cheka tu na simba na yanga.maandamano na civil disobedience na hiyo ndio lugha CCM wanaelewa na kuogopa
Mbinu waliotumia ni ya diplomatic na ndio imeleta mikutano kuruhusiwa, na sheria mbovu za uchaguzi zinaenda futwa, tume huru inaanza na mchakato wa katiba mpya umekuja. Ukipata tume huru na katiba mpya ni step ya kwanza kuitoa ccm sasa unadhani ccm itatoka kwa NEC au maandamano? Zaidi watamtoa Samia watamweka Mpango na watendelea kutawala miaka 60 mingine kama Zimbabwe!!Viongozi wa sasa hawana mbinu, ari wala mikakati ya kiuhalisia wakuitoa CCM
Anaweza sana tu sema alipaswa awe na umati nyuma yake, sasa akiwatoa vyama vya upinzani akabaki mwenyewe sidhani kama atafika kokoteHivi Mwabukusi anajua kuwa anapambana na kundi kubwa la matajiri duniani?
Kundi ambali limewashinda Nguvu CCM je Mwabukusi ataliweza?
Yeye anadhani wanaccm wenyewe wanaipenda Dpw
Sana tu. Utayari upo, unadhani Polisi wanapambana maandamano yasitoke sababu ni checklist yao? Vyombo vya usalama vinafahamu hasira zilizopo mtaani na wanajua usalama wa viongozi wa CCM utapotea siku wananchi wakipata kiongozi wa kuwaingiza barabarani.Lakini je watanzania walio tayari kutumia techniques za mbagara kwenye mpambano huu wapo.?
Kwani Mwabukusi ni CHADEMA? Yeye anasema hana chama ndio nashauri aanzishe cha kwake asilazimishe vyama vingine vifuate approach yake.Vyama vya siasa ni vya umma havina wenyewe hii kauli ya kusema watu waanzishe vyama vyao ni ya kiuhuni na inasemwa na watu wenye upeo na uelewa mdogo kuhusu vyama na siasa
Usichanganye mambo!! Yeye hapingani na Mbowe yeye kalaumu vyama kama taasisi ikimaanisha kamati kuu, jumuiya za chama, na wanachama kwa ujumla kuwa wamechoka!! So vyama haviwezi leta katiba mpya!!! Sasa huyo mtu unamshauri vipi? Si obviously aanzishe chama ila angesema uongozi ndo umechoka ulichoshauri ndio kingekua na maana.Watu wanaweza kuhama chama sababu ya sera siyo kiongozi mbovu ambaye afuati sera za chama.